Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,760
- 3,858
Aisee
Sijawai kuwa na best friend ila napenda kama niwe na best friend! Nakuaga tu na marafiki ambao tunaunganishwa na masomo, kazi, tukio fulani.
Actually mm n mtu wa kivyangu vyangu napenda kufanya vitu vyangu mwenyewe ,n mgumu kumshirikisha mtu mambo yang na nina trust issues!!
Lakin nakuaga na marafiki tunaoiva baada ya muda nikigundua mtu anatabia fulan ambayo siipendi naepukana nae? So imenifanya nisiwe na rafiki wa kudum au best friend Best friend n mtu au rafiki yako
Actually hamfichani kitu!!
Nasikiaga watu wanabest friend mi sijawai pata wala kumuona mtu wa hivo kwangu!!
We ulimpataje best friend?
NB:syo mpenzi wala ndugu
Sijawai kuwa na best friend ila napenda kama niwe na best friend! Nakuaga tu na marafiki ambao tunaunganishwa na masomo, kazi, tukio fulani.
Actually mm n mtu wa kivyangu vyangu napenda kufanya vitu vyangu mwenyewe ,n mgumu kumshirikisha mtu mambo yang na nina trust issues!!
Lakin nakuaga na marafiki tunaoiva baada ya muda nikigundua mtu anatabia fulan ambayo siipendi naepukana nae? So imenifanya nisiwe na rafiki wa kudum au best friend Best friend n mtu au rafiki yako
- wa all season
- hamuunganishi na tukio
- hamtenganishwi na umbali au kazi au fan
Actually hamfichani kitu!!
Nasikiaga watu wanabest friend mi sijawai pata wala kumuona mtu wa hivo kwangu!!
We ulimpataje best friend?
NB:syo mpenzi wala ndugu

