Wandugu nimeona niwaletee hii bofya hapa yaani ni ulimbukeni wa NEC au wa TANZANIA kwani hii website ya mwaka 2005 mpaka sasa na kwanini wanapost date ya kupigia kura zimebaki 5 days wakati vitu vuilivyopo ndani vya mwaka 2005,Tafuteni IT wazuri au wakina MODS toeni msaada hapa Max upo?
Aisiiii Jafar ni kweli kabisa unayoongea kwani kama ulikuwa kwa kichwa changu sasa iweje hii ni Aibu kubwa sana Kwa Taifa la wanyonge kubebwa na Mafisadi Kheri Dr. wa Ukweli aikingie tule kuku