Ulikuwa unafanya nini ukiwa na miaka 16?

Ulikuwa unafanya nini ukiwa na miaka 16?

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,122
Reaction score
2,263
Huyu dogo, Ansu Fati,ana umri wa miaka 16. Tayari anachezea Barcelona na amefunga goli na kuwa mchezaji mdogo kupita wote kuwahi kufunga goli pale Barca.

Sasa usiniulize nilikuwa nafanya nini nikiwa na miaka 16. Ninachokumbuka nilikuwa bingwa wa kuangua zambarau. [emoji28][emoji28][emoji2365]
IMG_20190901_180024.jpeg
 
Nilikuwa nauza chakula kwenye mgahawa wa shangazi kipindi niko likizo aka mama ntilie.

Nilijifunza elimu ya ujasiriamali na nilijua mapishi mengi ikiwemo keki na biriani.
 
Huyu dogo, Ansu Fati,ana umri wa miaka 16. Tayari anachezea Barcelona na amefunga goli na kuwa mchezaji mdogo kupita wote kuwahi kufunga goli pale Barca.
Sasa usiniulize nilikuwa nafanya nini nikiwa na miaka 16. Ninachokumbuka nilikuwa bingwa wa kuangua zambarau. [emoji28][emoji28][emoji2365] View attachment 1195167
Nilikua bingwa mkoa wa dar uzito wa light weight amateur boxing
 
Back
Top Bottom