princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,682
- 14,699
haha nilisahau na ww hukunitafutaMs princess ariana hujaniambia kuhusu ile story yakoo??
haha nilisahau na ww hukunitafutaMs princess ariana hujaniambia kuhusu ile story yakoo??
Haya tuanze Sasa princess arianahaha nilisahau na ww hukunitafuta
aaah mambo mazito ndugu yangu hapa aibuHaya tuanze Sasa princess ariana
Niambie tu, Anza vyovyote??, princess ariana. Haya naja pmaaah mambo mazito ndugu yangu hapa aibu
😂😂😂
Nipo circular knitting ,ila mawe ni kidogo sana apo atozHuu uzi wako ndio umenifanya nifungue account Jf.
Mara baada ya kumaliza kidato cha nne na changamoto kuwa nyingi sana bila kuwa na kazi yoyote nilianza rasmi vibarua vya ujenzi, kulima pamoja na kazi yoyote Ile ambayo ingepatikana mitaani, nilifanya hivyo nikiwa na lengo la kwenda kusoma ufundi wa umeme wa majumba. Nilifanya hizo kazi kwa muda wa miaka 2 mpaka nilipopata kiasi cha kwenda Kuanzia masomo ya ufundi. Nilisoma kwa miaka 3 huku nikifanya vibarua mbali mbali,baada ya kumaliza chuo na kupata cheti cha vc2 nikarudi mtaani lakini hali ilikua ngumu kazi hazipatikani kabisa basi nikatoka huko kwetu songea nikaelekea Arusha. Nikiwa Arusha nikapata kazi kiwanda cha A to Z department ya starlinger nilikomaa kwa mwaka mmoja lakini mambo yalikuwa magumu na usalama ulikua haulidhishi. Nikaacha kazi A to Z nikaingia kwenye kampuni ya ulinzi Gardaworld nimetulia kidogo hapa huku nikifanya kazi za ufundi zinapopatikana. All in all Mungu yupo
Mawe ni kidogo sana mkuu. But sio mbaya wengi wameanza hapo baada ya muda wakajiongeza na kwenda kwenye mishe nyingine.Nipo circular knitting ,ila mawe ni kidogo sana apo atoz
Pole kaka na kumbuka kwamba nyakati ngumu zina mwisho wake na Mungu atajibu kwa wakati...Usiombee ukawa jobless na una familia...unawezs tamani kuwa kibaka au mshirikina wallah...sitak kukumbuka japo bado na struggle
Huu uzi wako ndio umenifanya nifungue account Jf.
Mara baada ya kumaliza kidato cha nne na changamoto kuwa nyingi sana bila kuwa na kazi yoyote nilianza rasmi vibarua vya ujenzi, kulima pamoja na kazi yoyote Ile ambayo ingepatikana mitaani, nilifanya hivyo nikiwa na lengo la kwenda kusoma ufundi wa umeme wa majumba. Nilifanya hizo kazi kwa muda wa miaka 2 mpaka nilipopata kiasi cha kwenda Kuanzia masomo ya ufundi. Nilisoma kwa miaka 3 huku nikifanya vibarua mbali mbali,baada ya kumaliza chuo na kupata cheti cha vc2 nikarudi mtaani lakini hali ilikua ngumu kazi hazipatikani kabisa basi nikatoka huko kwetu songea nikaelekea Arusha. Nikiwa Arusha nikapata kazi kiwanda cha A to Z department ya starlinger nilikomaa kwa mwaka mmoja lakini mambo yalikuwa magumu na usalama ulikua haulidhishi. Nikaacha kazi A to Z nikaingia kwenye kampuni ya ulinzi Gardaworld nimetulia kidogo hapa huku nikifanya kazi za ufundi zinapopatikana. All in all Mungu yupo
Ujobless ni mbaya sana asikuambie mtu, tena ukiwa huna hata cha kufanya.
Nipo mtaani napiga kijiwe(kazi isiyo rasmi), nachuma 33% ya mshahara ambao nitapata kabla ya makato endapo nikiajiriwa na serikali kwa mwezi.
Muda wa kazi ni masaa 15 kila siku.
NB: Yatima hadeki
Miaka hiyo nilipanga kwenye nyumba ambayo kila mpangaji ana mishe mishe ya kufanya, kwa hiyo watu wanaamka asubuhi sana kujiandaa kutoka.
Mimi muda huo sina hata usingizi, natamani hata ningepata inshu ya kunifanya nitoke asubuhi na kurudi jioni.
Kitu kilichokuja kunipa nguvu niligundua kwa namna nilivyokuwa najiweka, japo ni jobless najitahidi kuvaa vizuri, msafi na ninanukia angalau vispray vya elfu nne, wapangaji wote au wake wa wapangaji walikuwa wananichukulia mimi kama mtu fulani wa matawi sana. Na walifika mbali wakadhani labda kuna shughuli zangu binafsi ambazo nafanya hazinibani, kumbe hamna lolote.
Kuna siku niko ndani bila ya watu kujua, nikasikia wanawake kwenye stori zao kuna mmoja anawaambia wenzie kwamba amegundua mimi ni Usalama wa Taifa na ushahidi anao, nilicheka sana.
Basi na mimi nikaona nisiwakatishe tamaa, kila ikifika asubuhi sana na mimi najiandaa natoka kama naenda kazini, kumbe naenda kuzunguka kwenye maofisi kutafuta kazi. Nikiona njaa tu imezidi nawahi kurudi nisijenikaangukia njiani, bora nikaangukie kwangu.
Hahahaa.Prof. Janabi nilikuwa napitia kumbukumbu, watu tunatoka mbali sana.
Unayakumbuka haya mapito yako?
Mkuu hapa umefanya nimecheka 🤣🤣👉Nikiona njaa tu imezidi nawahi kurudi nisijenikaangukia njiani, bora nikaangukie kwangu.Miaka hiyo nilipanga kwenye nyumba ambayo kila mpangaji ana mishe mishe ya kufanya, kwa hiyo watu wanaamka asubuhi sana kujiandaa kutoka.
Mimi muda huo sina hata usingizi, natamani hata ningepata inshu ya kunifanya nitoke asubuhi na kurudi jioni.
Kitu kilichokuja kunipa nguvu niligundua kwa namna nilivyokuwa najiweka, japo ni jobless najitahidi kuvaa vizuri, msafi na ninanukia angalau vispray vya elfu nne, wapangaji wote au wake wa wapangaji walikuwa wananichukulia mimi kama mtu fulani wa matawi sana. Na walifika mbali wakadhani labda kuna shughuli zangu binafsi ambazo nafanya hazinibani, kumbe hamna lolote.
Kuna siku niko ndani bila ya watu kujua, nikasikia wanawake kwenye stori zao kuna mmoja anawaambia wenzie kwamba amegundua mimi ni Usalama wa Taifa na ushahidi anao, nilicheka sana.
Basi na mimi nikaona nisiwakatishe tamaa, kila ikifika asubuhi sana na mimi najiandaa natoka kama naenda kazini, kumbe naenda kuzunguka kwenye maofisi kutafuta kazi. Nikiona njaa tu imezidi nawahi kurudi nisijenikaangukia njiani, bora nikaangukie kwangu.
Ntakuja na kisa mkuu ngoja nipate good timeHahahahaha! Kamanda mbona kama unayacheka mapito yangu au na wewe yalikukuta ya namna kama hiyo nini?
Hebu tupe kisa chako tujifunze.
Mkuu hapa umefanya nimecheka Nikiona njaa tu imezidi nawahi kurudi nisijenikaangukia njiani, bora nikaangukie kwangu.