1. Chagua namba zozote mbili tofauti
2.Zidisha mojawapo ya hizo namba kwa 2
3.Jumlisha 5 kwenye jibu
4.Zidisha jibu ulilopata kwa 5
5.Jumlisha namba ile ya pili uliyoiacha mwanzo kwenye hilo jibu ulilopata
6.Toa 4 katika jibu la hapo juu
7.Toa tena 21
Jibu lake ni namba mbili ulizozichagua! Amazing!
Niambie kwa nini inakuwa hivyo?
2.Zidisha mojawapo ya hizo namba kwa 2
3.Jumlisha 5 kwenye jibu
4.Zidisha jibu ulilopata kwa 5
5.Jumlisha namba ile ya pili uliyoiacha mwanzo kwenye hilo jibu ulilopata
6.Toa 4 katika jibu la hapo juu
7.Toa tena 21
Jibu lake ni namba mbili ulizozichagua! Amazing!
Niambie kwa nini inakuwa hivyo?