Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,743
- 29,284
cha ajabu nini kwenye kuoa na kuolewa? watu waoane kila kitu ni kwa zamu .zamu yako ikifika na wewe utaunga foleni. kama swala la ndoa unashtuka aya ukisikia amekufa je?
Usicheke kaka... hali si hali... nimetupa jiwe gizaniSio kwa povu hili mkuu wangu.
what povu? mkuu kuna mambo mengi humu duniani kweli utaanza kujali mambo ya ex kuoa au kuolewa? unapoachana ina maana meridhiana nyie ndoa imewashinda mkatafute sehemu nyingineSio kwa povu hili mkuu wangu.
what povu? mkuu kuna mambo mengi humu duniani kweli utaanza kujali mambo ya ex kuoa au kuolewa? unapoachana ina maana meridhiana nyie ndoa imewashinda mkatafute sehemu nyingine
oooh kumbe siku ukikua utanialika kwenye mada zako kwaheriUsicheke kaka... hali si hali... nimetupa jiwe gizani
Usicheke kaka... hali si hali... nimetupa jiwe gizani
Aisee jiwe gizan kama jeshini hapo six weeks na mifarakano ya kutosha pole sanacha ajabu nini kwenye kuoa na kuolewa? watu waoane kila kitu ni kwa zamu .zamu yako ikifika na wewe utaunga foleni. kama swala la ndoa unashtuka aya ukisikia amekufa je?
Hana lolote huyo wee angalia reactions yake kwa hii mada ndio utaelewaMiss Natafuta anajifanya nunda.
Samahani lakini huyo avatar ni wewe??Bado hajaoa
ndioSamahani lakini huyo avatar ni wewe??
Kwamba imegusa penyewe mpaka povu limetokaHana lolote huyo wee angalia reactions yake kwa hii mada ndio utaelewa