Aiseee,,,,,kama malaika vileee nimekupenda bureeeendio
Yani hilo povu ni la kudekia bara bara sio kufulia nguoKwamba imegusa penyewe mpaka povu limetoka
Sasa hata ukipata hisia ameshaamua utafanya nini? Nikuwatakia maisha mema na kuendelea na maisha yako.Kama mlipendana kweli kuna kahisia utakipata ukipewa taarifa ya ndoa.
Sawa..kwako jimbo lishanyakuliwa au linahitaji mgombea?Bado hajaoa
mwambie huyo tena cha ajabu anaweza kuoa au kuolewa na bado mkikutana mnaonganisha vikojoleo kama kawawhat povu? mkuu kuna mambo mengi humu duniani kweli utaanza kujali mambo ya ex kuoa au kuolewa? unapoachana ina maana meridhiana nyie ndoa imewashinda mkatafute sehemu nyingine
cha ajabu nini kwenye kuoa na kuolewa? watu waoane kila kitu ni kwa zamu .zamu yako ikifika na wewe utaunga foleni. kama swala la ndoa unashtuka aya ukisikia amekufa je?
Jimbo lishachukuliwa lols...Sawa..kwako jimbo lishanyakuliwa au linahitaji mgombea?