Dah huu ni ukatiri aisee hii gari ya Government kumbe!??? Aisee hapa ni kucheza na wave za wakati huu dereva atakuwa sio mzima kama alifanya hivi kwa utashi wake
Dah huu ni ukatiri aisee hii gari ya Government kumbe!??? Aisee hapa ni kucheza na wave za wakati huu dereva atakuwa sio mzima kama alifanya hivi kwa utashi wake
Kabisa au basi kama issue ni kuchafua gari na shombo la mbuzi kwenye gari wangenunua hata jaba kubwa wakamuwekea na majani halafu wakamuweka hapo nyuma vioo hawafungi...