Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

Kama ameshambulia Hadi Saudi Arabia nchi yenye miji Mtakatifu wa waislamu wenzake unafikiri nani kichaa
Mbona unaongea pumba yaani utoke usa hadi mlangoni kwangu unishambulie..strategy ipo hvyo washirika wako wote wanatandikwa hadi uache uonevu

Same kwa north korea akiguswa wale washirika majirani wa usa walioweka base lazima watandikwe ili heshima iwepo.


Kichaa ni yule kila siku anaanzisha vita na ugomvi since when iran alileta chochoko ..mara anede venezuela mara Cuba wajiandae mara sijui nani ???

Within a year iran kashambuliwa na hawa vichaa two times..kaletewa chokochoko

Nani kichaa kati ya hao??
 
Mbona unaongea pumba yaani utoke usa hadi mlangoni kwangu unishambulie..strategy ipo hvyo washirika wako wote wanatandikwa hadi uache uonevu

Same kwa north korea akoguswa wale washirika majirani wa usa walioweka base lazima watandikwe ili heshima iwepo.


Kichaa ni yule kila siku anaanzisha vita na ugomvi since when iran alileta chochoko

Within a year iran kashambuliwa na hawa vichaa two times

Nani kichaa kati ya hao??
😅
 
Mbona unaongea pumba yaani utoke usa hadi mlangoni kwangu unishambulie..strategy ipo hvyo washirika wako wote wanatandikwa hadi uache uonevu

Same kwa north korea akiguswa wale washirika majirani wa usa walioweka base lazima watandikwe ili heshima iwepo.


Kichaa ni yule kila siku anaanzisha vita na ugomvi since when iran alileta chochoko ..mara anede venezuela mara Cuba wajiandae mara sijui nani ???

Within a year iran kashambuliwa na hawa vichaa two times..kaletewa chokochoko

Nani kichaa kati ya hao??
Tatizo manaangalia matokeo badala ya chanzo
Hizi ni akili za kuku

Kwanini Iran agombane na majirani zake wote Tena wa dini Moja ???
 
Anazunguka zunguka tu😅
Anavyohangaika utadhani Iran ndo imeanzisha hii vita!

Hivi kuna nchi yoyote hapa duniani inayoizidi Marekani katika kuanzisha vita na kuleta vurugu?

Marekani ndo hawa hawa walidanganya kuwa Iraq alikuwa na silaha za maangamizi na kwenda kuiharibu nchi ya watu.

Au hawakudanganya kuwa Iraq ilikuwa na WMDs?
 
Anavyohangaika utadhani Iran ndo imeanzisha hii vita!

Hivi kuna nchi yoyote hapa duniani inayoizidi Marekani katika kuanzisha vita na kuleta vurugu?

Marekani ndo hawa hawa walidanganya kuwa Iran alikuwa na silaha za maangamizi na kwenda kuiharibu nchi ya watu.

Au hawakudanganya kuwa Iraq ilikuwa na WMDs?
Akili ndogo inaangalia kinachoendelea sasa ila akili kubwa hufuatilia channzo miaka 20 nyuma
 
Anavyohangaika utadhani Iran ndo imeanzisha hii vita!

Hivi kuna nchi yoyote hapa duniani inayoizidi Marekani katika kuanzisha vita na kuleta vurugu?

Marekani ndo hawa hawa walidanganya kuwa Iran alikuwa na silaha za maangamizi na kwenda kuiharibu nchi ya watu.

Au hawakudanganya kuwa Iraq ilikuwa na WMDs?
Walidanganyaa dunia kwa Iraq, Venezuela kuwa Maduro anamilik genge la kutengeneza na kusafirisha masawa ya kulevya kwenda Marekani
Sasa wanasema Iran blaa blaa!!
 
Wewe wasema us Inaongozwa Kwa mifumo imara sio rahisi kuwa rais
Mfumo upi mtu anapiga mabomu Nigeria, anavamia tu Venezueala, na sasa Iran na ameshatishia kuichukua Greenland!! Ana akili timamu huyo? Huko nchini kwake anaua raia kila siku kwa kudai sio raia huku akitumia jeshi na ICE kufanya kazi ya polisi!!

Na anahusishwa na kesi za ubakaji wa vitoto kwenye Epstein files. Kama sio kichaa ni nini? Hayo anayofanya angekua anafanya yeyote yule angeshapinduliwa au kupigwa nuclear na USA
 
Back
Top Bottom