Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 3,771
- 4,913
- Thread starter
- #121
Alivyoishambulia Saudi Arabia na Qatar Dubai Kuna kombora lolote lilikuwa limerushwa kutoka hizo nchiUnaelewa nini kuhusu deterrence kwenye mambo ya defense?
Iran alirusha kombora bila kuanza kushambuliwa?
Amerushia kombora nchi ambayo haijahusika kwenye kuishambulia Iran moja kwa moja au kwa kuwasaidia adui wa Iran?
Kwanza inaweza kuwa like shambulio hakufanya Iran Bali false flag.
Tumieni akili zenu nyingi angalau kidogo badala ya ushabiki.