Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

Kombora alilofyatua hata halikuleta mazara kwa sababu ya ubali kulikuwa na haja ipi ya kufyatua Kombora ambalo halitaleta madhara
It's a message and leverage kuwa TUNAWEZA..... maana yake kama kuna mtu yeyote EU anataka kuingia vitani na Iran basi ajue hayuko salama.

Kwenye vita leverage ndio kila kitu. Hapo kinachofuata ni kurusha "dirty bomb" na hii inaweza kuweka hofu kuwa kuna "suprises" nyingine nyingi possibly nuclear warhead!!
 
Kitendo Cha kushambulia majirani zake wote kilionyesha hila ya Iran ni mbaya sana Hadi Kwa wenzake wa Imani Moja

Fikri ana uadui Hadi na Saudi Arabia nchi ya miji Mtakatifu ya waislamu
Ameshambulia tu majirani zake bila sababu? Hapana majirani zake Saudia, UAE, Qatar, Bahrain n.k wameruhusu ardhi zao itumike kumshambulia Iran je, ulitaka Iran asijibu ashambuliwe mpaka nchi ianguke??
Nini maana ya uadui?? Hao wakina Saudia sio maadui wa Iran mpaka waruhusu ardhi zao zitumike kumshambulia Iran???
 
Ameshambulia tu majirani zake bila sababu? Hapana majirani zake Saudia, UAE, Qatar, Bahrain n.k wameruhusu ardhi zao itumike kumshambulia Iran je, ulitaka Iran asijibu ashambuliwe mpaka nchi ianguke??
Nini maana ya uadui?? Hao wakina Saudia sio maadui wa Iran mpaka waruhusu ardhi zao zitumike kumshambulia Iran???
Iran amewahi kumchokoza nani tangu awe na hizo silaha??
Marekani na Israil wamewashambulia wangapi tangu wawe na silaha nzito nzito??
 
Baadhi ya watu hoja zao huwa ni mfu hazina maana!!
Trampu amesema " Iran hawana jeshi la anga, jeshi la majini, hawana tena nyuklia, tumeua viongozi wao wote hatuna wa kuingia nae kwenye zungumzo, tutaufungua mfereji wa Hormuz, nawapa saa 48 nitapiga mabomu hawajawahi kuyaona!" Ingawa iran bado anapiga mabomu kwenye nchi za Ghuba na Israil, kafunga Hormuz, kafa Ayyatollah Sr kaingia Ayyatollah Jr!! . Tramp anasema wapo kwenye mazungumzo mazuri na Iran anaongea na nani wakati viongozi wote kawaua??
Mwenye akili timamu hawezi kuwa upande wa kiongozi asiye na msimamo na muongo.
 
Baadhi ya watu hoja zao huwa ni mfu hazina maana!!
Trampu amesema " Iran hawana jeshi la anga, jeshi la majini, hawana tena nyuklia, tumeua viongozi wao wote hatuna wa kuingia nae kwenye zungumzo, tutaufungua mfereji wa Hormuz, nawapa saa 48 nitapiga mabomu hawajawahi kuyaona!" Ingawa iran bado anapiga mabomu kwenye nchi za Ghuba na Israil, kafunga Hormuz, kafa Ayyatollah Sr kaingia Ayyatollah Jr!! . Tramp anasema wapo kwenye mazungumzo mazuri na Iran anaongea na nani wakati viongozi wote kawaua??
Mwenye akili timamu hawezi kuwa upande wa kiongozi asiye na msimamo na muongo.
Vita Ina mbinu nyingi usimkariri
 
Ameshambulia tu majirani zake bila sababu? Hapana majirani zake Saudia, UAE, Qatar, Bahrain n.k wameruhusu ardhi zao itumike kumshambulia Iran je, ulitaka Iran asijibu ashambuliwe mpaka nchi ianguke??
Nini maana ya uadui?? Hao wakina Saudia sio maadui wa Iran mpaka waruhusu ardhi zao zitumike kumshambulia Iran???
Kwa hiyo hata TANZANIA ikiruhusu base za Us nchini kwake itashambuliwa na Iran pia ?
Ndo maana nasema kichaa asiruhusiww kumiliki bunduki
 
Back
Top Bottom