Ulaji wa mafuta Toyota Premio

Sisi wa cc4400 hapa naona haturusiwi kuchangia...
 
Kwema wakubwa..Nina allion 1zz ila sasa mafuta ya 70k ambayo ni kama lita 17.2 natumia siku 5 tu, na hapo distance nayotembea kwa siku ni 23km kwenda na kurudi. Plugs, coil nimebadili na oxygen sensor pia nimeisafisha lakini bado ulaji wake ndo huo. Ushauri wataalam
 
Ulitaka utembelee siku ngap ? πŸ˜‚
 
Hapo ni sawa na 7km/l ni sawa na crown 4 gr πŸ˜‚, unatumia spark plug gan hizo unazoziita original code zake ni zipi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…