mwanamke wa kiislam ni fedheha sana kutunga uongo , hayo waachie wala kitimotoMaajabu ya Tanzania.
Leo chadema wote wanamuunga mkono Magufuli.
Pinga kikokotoo alichokirudisha Magufuli.mwanamke wa kiislam ni fedheha sana kutunga uongo
unataka waje sebuleni kwakoSasa wanajifichia nini ?
nyumbani kwangu wachawi marufuku !unataka waje sebuleni kwako
Uongo upi kwamba Dereva wa Lissu hajajificha? Au labda nimekosea, Amefichwa basi.uongo utakusaidia nini mjomba ?
Mkuu erythrocyte ebu soma Maneno yako vizuri kwa mara ya pili.unataka kusema wala kiti moto kwao kutunga uongo siyo shida ?mwanamke wa kiislam ni fedheha sana kutunga uongo , hayo waachie wala kitimoto
Mtatiro jana kakiri kuwa ukiwa ccm huruhusiwi kukosoa hadharani, unatakiwa kupeleka malalamiko kwenye vikao. Sasa tatizo linakuja kuwa yeye sio mjumbe wa kikao chochote hata cha nyumba kumi.Mi hakuna anayenitia huruma Kama Mtatiro,huyu jamaa utadhani alinyewa na paka mweusi,yaani hasikiki kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kimavi chenyewe,kwani yeye hakufanya uchambuzi yakinifu kabla ya kuhama? Yeye akiri Tu kuwa alichokuwa anategemea hajakipata ameangukia pua,alienda kule si Kwa ajili ya kuunga juhudi za Rais mkono alienda ili apate teuziMtatiro jana kakiri kuwa ukiwa ccm huruhusiwi kukosoa hadharani, unatakiwa kupeleka malalamiko kwenye vikao. Sasa tatizo linakuja kuwa yeye sio mjumbe wa kikao chochote hata cha nyumba kumi.
2023 jiwe atakua amebakiza only 2 years ataondoka na sheria itarudi kama zamani
2020 hatoboi .2023 jiwe atakua amebakiza only 2 years ataondoka na sheria itarudi kama zamani
Hapo Mbeya mpongezeni Tulia Ackson , huyo ndio ameleta maendeleo yote tangu Mbeya iumbwe na Mungukkkkk !
sisi huku mbeya tunataka kuandamana kumpongeza mheshimiwa LICE kwa umeme kuwaka takriban masaa 8 bila kukatika..
yesterday was amazing today no power !
Sent using Jamii Forums mobile app