Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,111
Huu ndio ukweli niliouona waziwazi , wamepoteza kabisa ule ujasiri waliokuwa nao , wako kama mtu aliyejisaidia hadharani kwa bahati mbaya baada ya kukumbwa na tumbo la kuhara
Ukiacha Waitara ambaye labda amepata ahueni baada ya kuokota unaibu waziri , wengine wote wanaona aibu hata kujitokeza hadharani tu ! hii ina maana kubwa sana ndugu zangu , ama kweli Usaliti ni laana mbaya mno !
Nachukua nafasi hii kuwapa pole sana familia za Wasaliti hao kwa aibu wanayopitia kwenye kipindi hiki , maana kama baba wa familia ambaye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya familia anaweza kununuliwa hii inaleta picha mbaya sana na inaweka rehani familia nzima , familia haitajiamini tena na mwishowe inakata tamaa.
Ukiacha Waitara ambaye labda amepata ahueni baada ya kuokota unaibu waziri , wengine wote wanaona aibu hata kujitokeza hadharani tu ! hii ina maana kubwa sana ndugu zangu , ama kweli Usaliti ni laana mbaya mno !
Nachukua nafasi hii kuwapa pole sana familia za Wasaliti hao kwa aibu wanayopitia kwenye kipindi hiki , maana kama baba wa familia ambaye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya familia anaweza kununuliwa hii inaleta picha mbaya sana na inaweka rehani familia nzima , familia haitajiamini tena na mwishowe inakata tamaa.