Daah hapana mkuu..,ngoja tusubiri hiyo kesho tuwe na subira..!Jambo kama unafanya kazi Star TV je unaweza kwa bahati mbaya kucopy huo mkanda alafu kwa bahati mbaya uka-upload Youtube au megaupload.... no body will know kwamba ni wewe ndio umekumbwa na hizo bahati mbaya
Amani gani imevurugwa we ng'ombe? Hakuna watu wanaopenda amani kama viongozi wa chadema. Na kwa taarifa yako kama viongozi hawa wangekuwa kama jk ambaye anadiriki hata kuchochea udini basi asingefika 2012 maana wana wafuasi ambao wanawapenda na kuwasikiliza na tena ni vijana wenye nguvu. kama hawajipendi waambie waendelee kuchea huu moto itakula kwao, wataachia kabla ya muda wao. Peoples powerrrrrrrrrrrrrrUkweli tutaujua mahakamani sio propaganda nyingine yoyote, alie kaidi amri ya jeshi duniani kokote hukumu yake inaeleweka na imani na mahakama ya tanzania watakuwa seriouse na kesi hii ya kuvuruga amani
Daah hapana mkuu..,ngoja tusubiri hiyo kesho tuwe na subira..!
Ukweli tutaujua mahakamani sio propaganda nyingine yoyote, alie kaidi amri ya jeshi duniani kokote hukumu yake inaeleweka na imani na mahakama ya tanzania watakuwa seriouse na kesi hii ya kuvuruga amani
Naona kama umetuingiza choo cha jinsia tofauti nipo kwe luninga mbona picha za arusha haziji?Hello wana JF kesho saa nne asubuhi Star Tv wataonyesha collection ya ukweli juu ya yaliyojiri Arusha..,so utakuwa muda mzuri kuona uchakachuaji uliofanywa na Polisi..Mwambie na mwingine..!
Usikose...!