Challya
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 462
- 579
1.Hakuna mwanamke ambae anaweza kukwambia ukweli kuwa ashatoka na wanaume wangapi kabla ya kuwa na wewe.
2.Unapokuwa kwenye mapenzi mapya usijisahau kwa kujionyesha,kuongea na kuringishia, siku zote penzi jipya hunoga lakini mapenzi ni kama jua huchomoza na huzama..na pia unapojua kupendwa usisahau kutendwa pia kupo!!!
3.Usijirahisishe kumpost mpenzi wako kwenye mitandao ya kijamii, mtu ambae hata inawezekana kwenu hajulikani,hata hamna dalili ya kuoana...kumpost kutafanya wale wenye mapenzi ya kweli na wewe wajiweke mbali nawe.
4. Mwanaume mwenzangu unapotafuta mwenza wa maisha basi ishi kiuhalisia,acha kuigiza maisha....mwambie ukweli huyo mwanamke, usitake uonekane wa hali ya juu wakati wewe ni wa kawaida tu....kuwa real yupo ambae atakupenda kama ulivyo.
5. Na nyie wanawake,je unajua katika maisha yako umeshafukuza wanaume wangapi wenye mapenzi ya kweli kwako kwasababu ya tabia yako chafu ya kudanga?....ebu acha hizo,tafuta kazi fanya utaenjoy maisha.
6. Mwanamke anayemuacha mwanaume wake kisa hana hela huo ni upumbavu wa kupindukia na huja kujutia kwasababu kwa mwanaume anayejielewa kufulia huwa ni kitu cha mpito tu.
7. Ewe dada na ewe kama uliopo kwenye mahusiano serious, basi unapoingia kwenye mitandao ya kijamii kuwa kama mtu ambae ni mume/mke/ mpenzi wa mtu na sio kujifanya upo single.
8. Mwanaume mpumbavu ni yule anayemuwekea bifu mwanamke kisa tu amememtongoza akakataliwa, ewe kaka tambua hilo ni ombi na sio amri na pia elewa mapenzi ni hisia,usilazimishe usipopendwa usije lia baadae!!
9. Ewe mwanamke uzuri unaweza ukakufanya uolewe haraka bali tabia zako ndio zitafanya udumu muda gani katika hiyo ndoa.
10. Hata siku moja usijutie au kulia kwa kuachana au kuachwa na mtu ambae alikuwa anaukudhara,hakupi muda wake,anakusaliti....bali unatakiwa ujutie kwa kuachana na mtu ambae alikuwa furaha kwako,muaminifu,mkweli na mkarimu kwako ila ujinga wako na upumbavu ukamuondoa kwako.
ITAENDELEA.............
Sent using Jamii Forums mobile app
2.Unapokuwa kwenye mapenzi mapya usijisahau kwa kujionyesha,kuongea na kuringishia, siku zote penzi jipya hunoga lakini mapenzi ni kama jua huchomoza na huzama..na pia unapojua kupendwa usisahau kutendwa pia kupo!!!
3.Usijirahisishe kumpost mpenzi wako kwenye mitandao ya kijamii, mtu ambae hata inawezekana kwenu hajulikani,hata hamna dalili ya kuoana...kumpost kutafanya wale wenye mapenzi ya kweli na wewe wajiweke mbali nawe.
4. Mwanaume mwenzangu unapotafuta mwenza wa maisha basi ishi kiuhalisia,acha kuigiza maisha....mwambie ukweli huyo mwanamke, usitake uonekane wa hali ya juu wakati wewe ni wa kawaida tu....kuwa real yupo ambae atakupenda kama ulivyo.
5. Na nyie wanawake,je unajua katika maisha yako umeshafukuza wanaume wangapi wenye mapenzi ya kweli kwako kwasababu ya tabia yako chafu ya kudanga?....ebu acha hizo,tafuta kazi fanya utaenjoy maisha.
6. Mwanamke anayemuacha mwanaume wake kisa hana hela huo ni upumbavu wa kupindukia na huja kujutia kwasababu kwa mwanaume anayejielewa kufulia huwa ni kitu cha mpito tu.
7. Ewe dada na ewe kama uliopo kwenye mahusiano serious, basi unapoingia kwenye mitandao ya kijamii kuwa kama mtu ambae ni mume/mke/ mpenzi wa mtu na sio kujifanya upo single.
8. Mwanaume mpumbavu ni yule anayemuwekea bifu mwanamke kisa tu amememtongoza akakataliwa, ewe kaka tambua hilo ni ombi na sio amri na pia elewa mapenzi ni hisia,usilazimishe usipopendwa usije lia baadae!!
9. Ewe mwanamke uzuri unaweza ukakufanya uolewe haraka bali tabia zako ndio zitafanya udumu muda gani katika hiyo ndoa.
10. Hata siku moja usijutie au kulia kwa kuachana au kuachwa na mtu ambae alikuwa anaukudhara,hakupi muda wake,anakusaliti....bali unatakiwa ujutie kwa kuachana na mtu ambae alikuwa furaha kwako,muaminifu,mkweli na mkarimu kwako ila ujinga wako na upumbavu ukamuondoa kwako.
ITAENDELEA.............
Sent using Jamii Forums mobile app