GE2025 Ukweli usiopingika, miaka mitano ya Samia alikuwa anatembelea nyota ya Magufuli, hii mitano ya kwake ndiyo tutajua uhalisia wake

GE2025 Ukweli usiopingika, miaka mitano ya Samia alikuwa anatembelea nyota ya Magufuli, hii mitano ya kwake ndiyo tutajua uhalisia wake

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Kuboma

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
1,466
Reaction score
2,579
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.

Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu

Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na kamsemo ka Mama anamalizia miladi ya mtangulizi wake

Je, hii mitano anayoitaka ataendelea kumalizia miladi ya mtangulizi wake? Hapana naamini miradi mingi ilishakamilika kama bwawa la umeme na mingineyo, kilichobaki ni reli tu ambayo tunaamini mpaka leo Magufuri angekuwepo angekuwa alishamaliza

Sasa tunahitaji miradi ya kimkakati kutoka kwa samia kama ya mtangulizi wake siyo kujenga matundu ya vyoo na madarsa, hapana tuone yale makubwa aliyoyafanya Magufuli, maana si ameutaka mwenyewe urais
 
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.

Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu

Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na kamsemo ka Mama anamalizia miladi ya mtangulizi wake

Je, hii mitano anayoitaka ataendelea kumalizia miladi ya mtangulizi wake? Hapana naamini miradi mingi ilishakamilika kama bwawa la umeme na mingineyo, kilichobaki ni reli tu ambayo tunaamini mpaka leo Magufuri angekuwepo angekuwa alishamaliza

Sasa tunahitaji miradi ya kimkakati kutoka kwa samia kama ya mtangulizi wake siyo kujenga matundu ya vyoo na madarsa, hapana tuone yale makubwa aliyoyafanya Magufuli, maana si ameutaka mwenyewe urais
mitano ipi. Hiyo miNNE aliyoipata kwa. kudra inamtosha.
 
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.

Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu

Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na kamsemo ka Mama anamalizia miladi ya mtangulizi wake

Je, hii mitano anayoitaka ataendelea kumalizia miladi ya mtangulizi wake? Hapana naamini miradi mingi ilishakamilika kama bwawa la umeme na mingineyo, kilichobaki ni reli tu ambayo tunaamini mpaka leo Magufuri angekuwepo angekuwa alishamaliza

Sasa tunahitaji miradi ya kimkakati kutoka kwa samia kama ya mtangulizi wake siyo kujenga matundu ya vyoo na madarsa, hapana tuone yale makubwa aliyoyafanya Magufuli, maana si ameutaka mwenyewe urais

Mitano ipi ndugu?
 
Dalili za mvua ni mawingu, unahisi ana jipya? Kama unahisi atakuwa na jipya unajidanganya. Kwenye kampeni ataenda kudhalilika na zomea zomea za wananchi nipo pale
atulie aachane na wanaomdanganya, ana hatari kubwa sana mbele yake
 
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.

Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu

Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na kamsemo ka Mama anamalizia miladi ya mtangulizi wake

Je, hii mitano anayoitaka ataendelea kumalizia miladi ya mtangulizi wake? Hapana naamini miradi mingi ilishakamilika kama bwawa la umeme na mingineyo, kilichobaki ni reli tu ambayo tunaamini mpaka leo Magufuri angekuwepo angekuwa alishamaliza

Sasa tunahitaji miradi ya kimkakati kutoka kwa samia kama ya mtangulizi wake siyo kujenga matundu ya vyoo na madarsa, hapana tuone yale makubwa aliyoyafanya Magufuli, maana si ameutaka mwenyewe urais
Magufuli hajawahi kuwa na nyota Bali hasara

View: https://www.instagram.com/p/DNU6sTRCQCe/?igsh=bHYya243Zm1nZnhh

Hata nikikuuliza nyota aliyotembelea Iko wapi huna majibu

Soma namba kwanza hapa chini
thechanzo_1751436711797.jpg
20250702_090951.jpg
 
Kwa hyo wewe hata hujamsoma tu mpka Sasa hivi wala uhalisia haujaujuwa😂💨 MITANO ijayo anakuja kututia vidole vya 🍑🍑 Yan kati ya vipindi au awamu ambayo Marais wengi wanakuwa miyeyusho ni awamu ya pili maana hana cha kupoteza
 
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.

Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu

Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na kamsemo ka Mama anamalizia miladi ya mtangulizi wake

Je, hii mitano anayoitaka ataendelea kumalizia miladi ya mtangulizi wake? Hapana naamini miradi mingi ilishakamilika kama bwawa la umeme na mingineyo, kilichobaki ni reli tu ambayo tunaamini mpaka leo Magufuri angekuwepo angekuwa alishamaliza

Sasa tunahitaji miradi ya kimkakati kutoka kwa samia kama ya mtangulizi wake siyo kujenga matundu ya vyoo na madarsa, hapana tuone yale makubwa aliyoyafanya Magufuli, maana si ameutaka mwenyewe urais
Tayari ashapokea rushwa za kina gsm na yule gabachori wa IPTL
 
atulie aachane na wanaomdanganya, ana hatari kubwa sana mbele yake
Wamejidhatiti sana hao watu na sijaona mwanaccm yoyote kwa sasa wataweza kuondoa hao waliomzunguka sir mia, Polepole ataongea atachoka na atapotea ila wana mtandao awatofanya kosa tena kumleta mtu sio wa kwao ili kulinda mali zao wanaowaibia watanzania waliolala.
 
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.

Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu

Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na kamsemo ka Mama anamalizia miladi ya mtangulizi wake

Je, hii mitano anayoitaka ataendelea kumalizia miladi ya mtangulizi wake? Hapana naamini miradi mingi ilishakamilika kama bwawa la umeme na mingineyo, kilichobaki ni reli tu ambayo tunaamini mpaka leo Magufuri angekuwepo angekuwa alishamaliza

Sasa tunahitaji miradi ya kimkakati kutoka kwa samia kama ya mtangulizi wake siyo kujenga matundu ya vyoo na madarsa, hapana tuone yale makubwa aliyoyafanya Magufuli, maana si ameutaka mwenyewe urais
20250729_010133.jpg
 
Wamejidhatiti sana hao watu na sijaona mwanaccm yoyote kwa sasa wataweza kuondoa hao waliomzunguka sir mia, Polepole ataongea atachoka na atapotea ila wana mtandao awatofanya kosa tena kumleta mtu sio wa kwao ili kulinda mali zao wanaowaibia watanzania waliolala.
jambo litalotokea sio la kibinadamu, ni la Mungu wa mbinguni YHWH. Tumemwomba na ameshajibu, ni Swala la kutimia tu, soon!

REAL MADRID WANAPOFUNGWA SIO KUWA WANAKUWA WAMEPENDA KUFUNGWA
 
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.

Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu

Tanzania ilipaa na kusifika kila mahali,alipofariki Samia aririthi kiti chake na kuendeleza yale ya Magufuri ndiyo maana kulikuwa na kamsemo ka Mama anamalizia miladi ya mtangulizi wake

Je, hii mitano anayoitaka ataendelea kumalizia miladi ya mtangulizi wake? Hapana naamini miradi mingi ilishakamilika kama bwawa la umeme na mingineyo, kilichobaki ni reli tu ambayo tunaamini mpaka leo Magufuri angekuwepo angekuwa alishamaliza

Sasa tunahitaji miradi ya kimkakati kutoka kwa samia kama ya mtangulizi wake siyo kujenga matundu ya vyoo na madarsa, hapana tuone yale makubwa aliyoyafanya Magufuli, maana si ameutaka mwenyewe urais
Kila mwaka kakopa zaidi ya trillion 15,hivyo anyooshe maleleza kabla hajaleta majanga. Jumla 157 toa 57 unapata 101trillion,gawanya kwa nne 25.025.
Hii haihitaji darasa kashatibua.
 
Magufuli hajawahi kuwa na nyota Bali hasara

View: https://www.instagram.com/p/DNU6sTRCQCe/?igsh=bHYya243Zm1nZnhh

Hata nikikuuliza nyota aliyotembelea Iko wapi huna majibu

Soma namba kwanza hapa chini View attachment 3440912View attachment 3440913

We chawa usiye na akili, takwimu hata angewekwa Kingwendu hapo ikulu lazima zingepanda....population yetu na yenyewe si inaongezeka?!
Hata graph kuanzia kwa Mkapa kuja juu inaakisi hivyo...unasifia nn sasa hapo?!.
 
We chawa usiye na akili, takwimu hata angewekwa Kingwendu hapo ikulu lazima zingepanda....population yetu na yenyewe si inaongezeka?!
Hata graph kuanzia kwa Mkapa kuja juu inaakisi hivyo...unasifia nn sasa hapo?!.
Ulienda shule kukuza makalio.

Sio lazima zipande zinaweza kushuka pia.

Hoja ni Je zimeoata Kwa kasi gani? Ndio maana kwenye mbio Kuna wa 1,2,3 Hadi wa mwisho.

Tumia akili fanya analysis ya grafu utaelewa kama una akili lakini.
 
Back
Top Bottom