Ukweli usiopingika dhidi ya dada zetu

Ukweli usiopingika dhidi ya dada zetu

Humu ni shida mtoa Uzi yuko sahihi sana though sio wanawake wote....ila lugha ndo n Kali mnooo....
Pia wadada... mjitambue basi...mara nyingi mwanaume hanaga cha kupoteza so msijisahau...
Na kumbuka ukifanya chochote tofauti hali iliyo sahihi huko mbeleni lazima ikugharimu.
Hivyo basi tuishi maisha ya kumpendeza Mungu.
 
Namuheshimu mwanamke, Ni mama yangu, dada yangu na mama wa familia yangu ijayo. Na kwa kuwa siko katika nafasi yake sijui na sitaweza kujua nini kinamsibu katika maisha yake na pia sina sababu ya kumdhihaki wala kumdhalilisha kwani nami si mkamilifu mbele za Mungu na dunia hii. bila Mimi mwanaume asingepitia. Mungu atupe hekima na busara ya kutambua hili.
 
Foolish...embacile. Idiot nyang'au wee mxxiiiuuuu@*#. Wanaume wenyewe hao wavaa hereni wavaa milegezo na wanaorembua macho!! Hao ndo unasema wanaume?? Hao wanaowinda wanawake wenye pesa ili walelewe!! Na mwandishi is one of them he can't handle fatherly responsibilities...mbuzi kasoro mkia wee!

Huyo ni mbuzi mwenye mkia mbelee
 
Alaf huyo jamaa/mwandishi design kama M kenya hivi.

Ametema madini sanaa.
Daaaah, kweli mbongo wataalam wa hii kitu wanahesabika kama na wewe unakubali kuwa jamaa katema madini haswa.
Enzi zangu za utotoni nilikuwa naamini rais ndo anakuwa na akili nyingi na anajua mombo kuliko raia wote katika nchi yake; kwa vile nilikuwa najiona kidume darasani (la pili) nikawaambia dada zangu kuwa mimi nitasomea unyerere walicheka sana na sikujua walichekea nini japokuwa baadae waliniambia unyerere hausomewi na wala siyo cheo. Mimi nulijua ni cheo na hukipata mtu mjanja kuliko wote katika nchi husika.
 
pengine kuna ukweli but not always the case, pia lugha iliyotumika ni kali mno, anatukana/ anasema vibaya hadi innocent third party (mtoto).

Hivi kwanini wanaume wengi mnapenda kuwaona wanawake ndo waathirika wakubwa wa mambo ya ndoa au mahusiano? Pengine ni kweli lakini mimi naona sivyo. Wote ni waathirika iwe ni directly au indirectly, coz naamini we both wish for a health and blessed marriage. Unaweza ww mwanaume ukajiona uko safe bt your sister, or any other female relative is affected by such things so you will still be a victim indirectly au pengine wewe mwenyewe umezaliwa kwa style hiyo au baba ako kasingiziwa wewe ni mwanae.

Mnapokosoa wanawake you just use very abusive language, am not sure if your intention is to educate or to nag, and on top of that, huo mnaouita ujinga haufanywi na mtu mmoja lazima kuwe na two parts, men & women but after huo ujinga only women will be nagged to the fullest.

If you (men) really don't want such things from women au mnachukizwa sana na mna nia ya dhati ya kutokomeza hicho kitu basi nyie ndo main characters, women themselves cannot do that coz naamin wanawake wengi wanafanya hivyo kwa nia ya kuwafurahisha nyie, kumbe nyie hampendi au mnawaona mazuzu, but why are you entertaining them? If you see a woman is half naked (or is doing anything foolish) don't applause her instead tell her that is not correct in your own way (don't nag). Speaking from experience, hakuna kitu kina mnyima mwanamke confidence siku nzima kama avae kitu then mwanaume amwambie hajapendeza anaweza hata aisrudie hiyo nguo tena.

Single mothers tunaowaona mtaani sio kwamba wote walitokana na style tudhaniazo sisi, hivyo hatupaswi kuwajudge kwa maneno makali hivyo kwakua hakuna single mother bila single father. Ongezeko la single mothers tiulichukulie kama changamoto yetu sote, tujiulize tunatengeneza kizazi cha aina gani baadae, watoto waliokua bila malezi ya baba na mama watakua ni wengi mno, hakuna ubishi kua mtoto alie lelewa na wazazi wawili na alielelewa na mzazi mmoja hawaezi kufanana kimitazamo na life style ya ukubwani (japo sio lazima wa mzazi mmoja awe in disadvantageous group na wa wazazi wawili awe kinyume chake).

Ongezeko la single parents (mother or father) kwa sasa ni kubwa coz hata wazazi walio kwenye ndoa hawadumu so watoto either wakae na baba au mama, mchezo ni ule ule. Pia kama mmegundua watoto wengi sasa ivi hapa mjini wanalelewa na bibi na babu either wa upande wa kike or kiume. Kizazi cha miaka kadhaa baadae kitatawaliwa na watoto waliokosa sense of familyhood and hospitality. All men and women need to change for our future generation.

well said
 
Foolish...embacile. Idiot nyang'au wee mxxiiiuuuu@*#. Wanaume wenyewe hao wavaa hereni wavaa milegezo na wanaorembua macho!! Hao ndo unasema wanaume?? Hao wanaowinda wanawake wenye pesa ili walelewe!! Na mwandishi is one of them he can't handle fatherly responsibilities...mbuzi kasoro mkia wee!
Jiwe hiloooooo Gizani.... Hahahah Ngoja Ni subscribe
 
Foolish...embacile. Idiot nyang'au wee mxxiiiuuuu@*#. Wanaume wenyewe hao wavaa hereni wavaa milegezo na wanaorembua macho!! Hao ndo unasema wanaume?? Hao wanaowinda wanawake wenye pesa ili walelewe!! Na mwandishi is one of them he can't handle fatherly responsibilities...mbuzi kasoro mkia wee!
La kizani. Atakayesema aaaaiiiiiii limempata.
 
wanaume wanakera yaani vile tu sitaki ban
wenyewe wamezaa kama nini
 
Foolish...embacile. Idiot nyang'au wee mxxiiiuuuu@*#. Wanaume wenyewe hao wavaa hereni wavaa milegezo na wanaorembua macho!! Hao ndo unasema wanaume?? Hao wanaowinda wanawake wenye pesa ili walelewe!! Na mwandishi is one of them he can't handle fatherly responsibilities...mbuzi kasoro mkia wee!
Lol
 
Foolish...embacile. Idiot nyang'au wee mxxiiiuuuu@*#. Wanaume wenyewe hao wavaa hereni wavaa milegezo na wanaorembua macho!! Hao ndo unasema wanaume?? Hao wanaowinda wanawake wenye pesa ili walelewe!! Na mwandishi is one of them he can't handle fatherly responsibilities...mbuzi kasoro mkia wee!
Are u over 30? Naona message imekuingia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom