Ukweli usemwe: Intelijensia ya CHADEMA is super and unique. Maamuzi magumu ni yale tu!

Hapa G Sam nakuunga mkono mara elfu hilo la kumsamehe Zitto na kumrejesha cdm. Kwangu mimi Zitto ni mara mia ukimuweka Lowassa na Sumaye pamoja. Zitto ni mwana mpotevu ila sasa ameujua ukweli ni kumsamehe na kumpa nafasi ya kugombea urais kwani amejiandaa na ana damu ya upinzani. Kutenda kosa si kosa ...
Hahaaaa, mpigieni magoti, jahazi linazama
 
Kitendo cha kuwabaini 'wasaliti' ndani ya vyama vya siasa ni kitendo kikubwa. Ni ukweli kuwa kikulacho ki nguoni mwako. Lakini,kujua kuwa kikulacho kiko sehemu gani ya nguo ni jambo la mfano. Kumjua unayekula,unayelala,unayekunywa na unayeishi naye kuwa si mwenzio si mchezo.

Kuanzia mwaka 2013,CHADEMA ilijitikisa na kujisafisha. Wengine huita kujivua gamba. Iliwabaini wasio waaminifu chamani mwao na kuwashughulikia kinidhamu. Waliokumbwa na mtikiso huo ni Zitto Kabwe,Prof. Kitila Mkumbo,Samson Mwigamba, Alberto Msando,Juliana Shonza na Mtela Mwampamba,kutaja wachache.

Kufikia sasa,pamoja na propaganda na maneno yote ya wakati huo,wote hao ni wanachama wa CCM isipokuwa Zitto ambaye ni Kiongozi wa ACT Wazalendo. Wote sasa ni wapinzani wa waziwazi wa CHADEMA. Baada ya kubainika,sasa ni dhahiri.

Mara tu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa,Patrobas Katambi naye 'akashtukiwa' kuwa hayupo kichama. Akawa anapewa taarifa na kushirikishwa kwa mipaka. Akawa 'anatengwa'. Leo,amejiunga na CCM.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Intelijensia ya CHADEMA is super and unique. Inaona mbali kwa darubini kali!
Chama chenu kiliangamia siku mlipo mpokea Lowassa Kisha Sumaye, na kumfukuza Dr Slaa, over
 
Katambi tulishambaini kuwa ni "TOGWA" na alipewa uenyekiti wa BAVICHA taifa kimkakati na aliposhindwa kazi tuliyomtuma kwa siku za mwanzo tu tulimpiga teke tukawapa majukumu Sosopi na katibu mkuu wa BAVICHA taifa. Zitto alizungukwa na mamluki tukamuonya hakusikia ila ameshajifunza.Tutamrudisha kundini mwakani baada ya kusafisha wale wote waliokuwa wakimuhadaa!
Bora Leo umekiri wewe ni cdm,sitakushangaa tena ukimpinga jpm
 
Katambi tulishambaini kuwa ni "TOGWA" na alipewa uenyekiti wa BAVICHA taifa kimkakati na aliposhindwa kazi tuliyomtuma kwa siku za mwanzo tu tulimpiga teke tukawapa majukumu Sosopi na katibu mkuu wa BAVICHA taifa. Zitto alizungukwa na mamluki tukamuonya hakusikia ila ameshajifunza.Tutamrudisha kundini mwakani baada ya kusafisha wale wote waliokuwa wakimuhadaa!
Unapingana na katibu wako mkuu Mashinji?
Unakifahamu alichoongea leo Mashinji na gazeti la mwananchi?
Unatia huruma Sana kijana!
 
Bado inteligencia inatakiwa iimarishwe zaidi hasa kwa hao wanaohamia upande wetu wasije vuruga comfort zone yetu nakukifanya chama kiparalyse.

Bado kunahitaji kubwa la kupitia upya mafunzo yetu ya wanachama kiitikadi hasa vijana. Chama kinahitaji wafia chama strategists wazuri
Tutafika mbali.

Aluta continua ..
 
Hata Mwalimu enzi za uhai wake aliikubali CDM kwamba ni chama makini sana.
 
Katambi tulishambaini kuwa ni "TOGWA" na alipewa uenyekiti wa BAVICHA taifa kimkakati na aliposhindwa kazi tuliyomtuma kwa siku za mwanzo tu tulimpiga teke tukawapa majukumu Sosopi na katibu mkuu wa BAVICHA taifa. Zitto alizungukwa na mamluki tukamuonya hakusikia ila ameshajifunza.Tutamrudisha kundini mwakani baada ya kusafisha wale wote waliokuwa wakimuhadaa!

acha uongo!!ulimpa kimkakati???
 
Kitendo cha kuwabaini 'wasaliti' ndani ya vyama vya siasa ni kitendo kikubwa. Ni ukweli kuwa kikulacho ki nguoni mwako. Lakini,kujua kuwa kikulacho kiko sehemu gani ya nguo ni jambo la mfano. Kumjua unayekula,unayelala,unayekunywa na unayeishi naye kuwa si mwenzio si mchezo.

Kuanzia mwaka 2013,CHADEMA ilijitikisa na kujisafisha. Wengine huita kujivua gamba. Iliwabaini wasio waaminifu chamani mwao na kuwashughulikia kinidhamu. Waliokumbwa na mtikiso huo ni Zitto Kabwe,Prof. Kitila Mkumbo,Samson Mwigamba, Alberto Msando,Juliana Shonza na Mtela Mwampamba,kutaja wachache.

Kufikia sasa,pamoja na propaganda na maneno yote ya wakati huo,wote hao ni wanachama wa CCM isipokuwa Zitto ambaye ni Kiongozi wa ACT Wazalendo. Wote sasa ni wapinzani wa waziwazi wa CHADEMA. Baada ya kubainika,sasa ni dhahiri.

Mara tu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa,Patrobas Katambi naye 'akashtukiwa' kuwa hayupo kichama. Akawa anapewa taarifa na kushirikishwa kwa mipaka. Akawa 'anatengwa'. Leo,amejiunga na CCM.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Intelijensia ya CHADEMA is super and unique. Inaona mbali kwa darubini kali!

ha ha ha we dogo

kwa hiyo wamebakia wangapi? intelijinsia iseme sasa
 
Back
Top Bottom