Wanakusikiliza au wanakaa kimya usiye na hoja umalize kuongea then waendelee.Sio kila utulivu inamaana unasikilizwa.Muda mwingine ni ile huyu naye si amalize atupishe.Na Rrondo ulivyo mbishi Sasa lazma wakuache useme.Mbona mimi sina hela na ndugu wananisikiliza kuliko ndugu wengine wenye hela? Pesa sio kila kitu.
Huna akili ya kukutoa kwenye umaskini, sasa akili ya kuwashauri ndugu zako unaitoa wapiMbona mimi sina hela na ndugu wananisikiliza kuliko ndugu wengine wenye hela? Pesa sio kila kitu.
Jamaa anaweza kuwa sahih kwa muono wake mkuu. Nadhan anajarib linganisha matatzo. Ni kama mwingine aseme heri ukimwi kuliko kansa. Anakusudia kumaanisha...ni heri kuwa na ngoma lakin ukawa na hakika ya kuyapata yaliyo ya msingi (chakula,malazi,mavazi)kuliko kuwa negative na usiwe na nafasi ya kupata ya msingi. Anasema hayo akiwa hajawah ona ugum wa kuwa na ukimwi zaid ya maisha kupunguziwa urefu.Hujaumwa wewe. Kuna watu wana billions wanatamani wazitoe ili tu wapate afya njema.
Unapoelekea unaikosea heshima "Bangi"Inategemeana na wewe umejiweka vipi,huwezi kufuga mirasta na kuvuta mibange halafu utake tukusikilize upuuzi wako
Ila sio kwenye ukimwi, ukiwa na billions ukimwi ni jambo dogo tu unaweza ishi hadi unakufa mzee kwa kutumia dawa, labda magonjwa mengine ambayo hata ukiwa na hela kiasi gani chance ya kusurvive ni ndogo.Hujaumwa wewe. Kuna watu wana billions wanatamani wazitoe ili tu wapate afya njema.
Mimi naamini kuwa umaskini ni janga baya zaidi ya UKIMWI.
Vijana tutafute fedha tuache masihara.
Ukiwa maskini hata kwenye kikao cha familia ukinyoosha kidole utoe hoja utaonekana unataka kutia fujo kwenye kikao.