RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,503
- 135,520
Hivi vitoto vya siku vina shida sana.Wewe,UKIMWI kitu ingine.
Hivi vitoto vya siku vina shida sana.Wewe,UKIMWI kitu ingine.
Usitutukane tafadhali bana....muhimu kusikikiza hoja ya mtu.....unaweza kuta anataka kuwapa taarifa kwamba hapo mnapofanyia kikao kuna bomu limetegwa ama kuna nyoka.....Inategemeana na wewe umejiweka vipi,huwezi kufuga mirasta na kuvuta mibange halafu utake tukusikilize upuuzi wako
Sawa.Hayo ni mawazo yako, una haki.
Kabisaa....Afya njema ni utajiri, ila fedha ni mlinzi wa mawazo yako. Maskini uwezi yalinda mawazo yako hata kama n mazuri. Mwenye pesa anatumia pesa kulinda mawazo yake, mfano mzuri ni sitawapa misaada mpaka mkubali ushoga.
😀 😀 😀 😀 😀 na hata mtaji wa karanga hawataki kukupa.Alafu kaka wanatabia nyingine siku hizi baada ya kikao kuisha utasikia "hivi mzee salehe mbona mwanao ajaowa" kumbuka hapo kazi sina
Deception anasemaje kuhusu hili?Wewe,UKIMWI kitu ingine.
😂 😂 😂Deception anasemaje kuhusu hili?
Mwambie Mkuu.. Rugw mpaka akafika stage ya kuchangiwaa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] Achana kabisa na afyaaUtajiri ni mzuri tu pale unapokua na afya njema.
Unaitusi bangi mkuuInategemeana na wewe umejiweka vipi,huwezi kufuga mirasta na kuvuta mibange halafu utake tukusikilize upuuzi wako
Mimi ni kilaza sana,huwa nategemea sana mawazo na tafiti za wengine.Wewe unasemeja Mungu kakupa ufahamu. Acha kumtegemea deception. Utapelekwa chaka.
Wacha hayo mabomu yatulipukie na hiyo mijoka ituume ila lakini hatukusikilizi kwa kuwa umejikatia tamaaUsitutukane tafadhali bana....muhimu kusikikiza hoja ya mtu.....unaweza kuta anataka kuwapa taarifa kwamba hapo mnapofanyia kikao kuna bomu limetegwa ama kuna nyoka.....
PoleMimi ni kilaza sana,huwa nategemea sana mawazo na tafiti za wengine.
Kwa kifupi kama ni kupelekwa chaka basi nitakuwa tayari nipo chaka muda mrefu sana.