Hujaumwa wewe. Kuna watu wana billions wanatamani wazitoe ili tu wapate afya njema.Mimi naamini kuwa umaskini ni janga baya zaidi ya UKIMWI.
Vijana tutafute fedha tuache masihara. Ukiwa maskini hata kwenye kikao cha familia ukinyoosha kidole utoe hoja utaonekana unataka kutia fujo kwenye kikao.
Mbona mimi sina hela na ndugu wananisikiliza kuliko ndugu wengine wenye hela? Pesa sio kila kitu.haha ... ukweli ni kwamba kama huna hela ujue huna akili.. sasa ndugu watamsikilizaje mtu asiekuwa na akili?
Kila kitu kinachangamoto zake.Mimi naamini kuwa umaskini ni janga baya zaidi ya UKIMWI.
Vijana tutafute fedha tuache masihara. Ukiwa maskini hata kwenye kikao cha familia ukinyoosha kidole utoe hoja utaonekana unataka kutia fujo kwenye kikao.
Sio kwa jamii yetu.Pesa inasikilizwa kuliko hekima za MTU.Mbona mimi sina hela na ndugu wananisikiliza kuliko ndugu wengine wenye hela? Pesa sio kila kitu.
Yes...kwenuSio kwa jamii yetu.Pesa inasikilizwa kuliko hekima za MTU.
Hata kwenu.Yes...kwenu
Mbona mimi sina hela na ndugu wananisikiliza kuliko ndugu wengine wenye hela? Pesa sio kila kitu.
Kwetu tunathamini utu kuliko pesa, ndio nilivyochangia.Hata kwenu.
Wanapesa halafu hawana akili? Mbona mnajichanganya?Basi ndugu zako ndo hawana akili. Mtu maskini mawazo yake yanahishia kula, kulala na kufanya mapenzi. Maskini hana imagination. Ndio maana huko ulimwenguni maskini hawezi kuaminiwa kuongoza hata kundi la mbuzi
Kama unasikilizwa basi maisha umeyapatia kuliko ndugu zako wote.Kwetu tunathamini utu kuliko pesa, ndio nilivyochangia.
Wanapesa halafu hawana akili? Mbona mnajichanganya?
Sawa.Hawana pesa. Labda wana pesa kwa viwango vyako maana hata elfu 1000 ni pesa. Hakuna mwenye pesa anayemsikiliza maskini maana hawasikilizani kwasababu wako kwenye wavelength tofauti. Ukiona mwenye pesa Anamsikiliza maskini, basi huyo maskini ameisha kuwa fursa kwa mwenye pesa. Huo ndio ukweli take it or leave it
Hayo ni mawazo yako, una haki.Kama unasikilizwa basi maisha umeyapatia kuliko ndugu zako wote.