Ukweli uko wapi juu ya hili?

Shedangio

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
448
170
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Naomba bila kugusa dhehebu wala itikadi ya mtu
Mwenye upeo wa hili afafanue Kidogo.
1.Nini maana haswa ya maulid
2.Ni lini yalianza haya maulidi
3.Ni nani mwazilishi wa haya maulidi.
4.Je mtume,maswahaba,Taabi'i au hawa maimamu wanne kuna mmoja wapo alishaawahi kusherehekea kama ifanywavyo sasa.

Naomba tuchangie kwa upole,uvumilivu na kuhurumiana itikadi zetu na madhehebu yetu.
karibuni kwa mchango.
 
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Naomba bila kugusa dhehebu wala itikadi ya mtu mwenye upeo wa hili afafanue kdg
1.Nini maana haswa ya maulid
2.Ni lini yalianza haya maulidi
3.Ni nani mwazilishi wa haya maulidi.
4.Je mtume,maswahaba,Taabi'i au hawa maimamu wanne kuna mmoja wapo alidhaawahi kusherwhekea kama ifanywavyo sasa.

Naomba tuchangie kwa upole,uvumilivu na kuhurumiana itikadi zetu na madhehebu yetu.
Mie nipo njia panda mkuu
 
Back
Top Bottom