Ukweli/taarifa kuhusu Escrow account live Star TV

Ukweli/taarifa kuhusu Escrow account live Star TV

Jambo limeamuliwa na mahakama kama unashaka nalo unapaswa kukata rufaa siyo kwenda star tv wala kwenye magazeti ya tanzania daima.
 
Tazama star tv kuanzia saa moja usiku huu upate ukweli/taarifa kamili kuhusu sakata la Escrow account.

CHANZO:Star tv

Maccm bwana!! Mkiitwa ukoo wa panya hamna makosa. Yaani issue iliwashinda kujinu nungeni mnazurura nayo kwenye press!! Kwa faida ya nani sasa?? Yuo cannot full us any more. Ukweli ni wa Kafulila. Ngojemi bunge lianze mvuliwe nguo.
 
Wadu wa jukwaa la siasa nikiwa sebureni kwangu hapa nimesoma tangazo star TV likisema kutakuwa na kipindi maalum ambapo ukweli wote utawekwa wazi kuhusu IPTL na ESCROW akaunti. Leo saa moja kamili, usiku huu kwenye televisheni ya Star TV. Hujachelewa kujua ukweli.
 
Watu wengine bwana ukweli siku zote utabaki ukweli hata kama mkitumia mahakama kuficha ukweli watanzania tutaweka kumbukumbu ya kuibiwa na wasiolitakia mema taifa hili
 
Watu wengine bwana ukweli siku zote utabaki ukweli hata kama mkitumia mahakama kuficha ukweli watanzania tutaweka kumbukumbu ya kuibiwa na wasiolitakia mema taifa hili

Unajua kwa nn Escrow account ilifunguliwa BoT?
 
ngoja nikimbilie kutizama startv nitarudi na majibu yote
 
Wadu wa jukwaa la siasa nikiwa sebureni kwangu hapa nimesoma tangazo star TV likisema kutakuwa na kipindi maalum ambapo ukweli wote utawekwa wazi kuhusu IPTL na ESCROW akaunti. Leo saa moja kamili, usiku huu kwenye televisheni ya Star TV. Hujachelewa kujua ukweli.
haya mkuu ngoja tusogelee tv zetu.
 
KUMBE ZILE PESA ZINGEWEZA HATA KUWEKWA Akiba commercial Bank hahahahha,....na bado Tanesco wanadaiwa duh
 
Back
Top Bottom