Rutto aligopa kumualika Mama kenya kuongelea refinery ya Tanga kwasababu aligopa atazomewa na vijana kenya na maandamano yangekuwepo. Lakini kwa akili yake ndogo haelewi kwasababu anaishi kwa kujidanganya danganya . Mama Samia kwasasa amekuwa na umashahuri wa utekaji, wizi wa kura, unyanyasaji na rushwa hauziki tena