kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,056
- 1,374
- Thread starter
- #21
Sasa wewe umechangia au umekashfu?Hata wewe hukuitwa kuleta mada yako hapa kama hutaki watu wachangie ungebaki nayo Yamkini umeona kuna sababu ya kuileta basi waachie watu uhuru wao wa kuchangia na kama wazo hujalipenda you just leave it. Mbona simple tu ndugu yangu!