True, ndio ilikuwa lengo. Alitaka kutawala milele. Tumempa nafasi akatawale huko kuzimu bila bugudha ya wapinzani.Nia na madhumuni ilikua ni kuhakikisha wale wabunge wa Chadema wenye itikadi kali hawarudi Bungeni. Mbowe, Msigwa, Heche, Lema, Sugu hawa wange kwamisha swala la kumuongezea Jembe kutoka Chato miaka saba ya nyongeza.