Waliiba Wakasahau Takwa La Lazima Kuhusu Kamati Za BungeUchaguzi ulitekwa wote, baada ya matokeo ndio mchakato wa kuwanunua Covid 19 ukalazimishwa
Jackson Makweta alikuwa mbunge wa kudumu pale Njombe alikuwa hafanyi chochote na anachaguliwahahaahaa mnyalukolo umenichekesha Sana nimekumbuka enzi hizo nikiwa dogo tu Njombe mbunge wa enzi hizo mzee Makweta alikua anawashika akili Sana wazee wa huku kila mwaka wanampitisha agombee hakuna anayepinga yaani watu wapo Kama mazuzu tu kila kitu ndio ndio nikaamini ama kweli mtaji wa CCM ni wajinga!
Watu mtaani kwenda kuaga maiti ya marehemu ni mila za Kiafrika. Hapa Dar hata Marehemu Stephen Kanumba naye alifunga mtaa kwenye msiba wake.Ninaomba majibu. Mbona watu wengi walilia sana hata wengine kufia kwenye kuuaga mwili wake kama vile alikuwa kipenzi cha wengi. Hawakuyaona haya yaliyokuwa yakitendeka katika utawala wake ya ubaya uliopitiliza.
Yaaani acha tuUchaguzi ulitekwa wote, baada ya matokeo ndio mchakato wa kuwanunua Covid 19 ukalazimishwa
Alishashitakiwa na wenziwe ICC. Usikute alifanyiziwa ili wengine wanusurike kwenye kitanzi cha mahakama za kimataifa!hahahaa walimwaga damu aana za watu. Si ajabu Magufuli asingemaliza miezi sita kwa mauaji yale.
Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.
Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile.
Ni hivi kila mwaka CCM tunaibaga kura Ila kiakili, mfano tunaiba baadhi ya majimbo, Ila kwenye stronghold za upinzani tunawaachia.
Kilichotokea mwaka Jana ni upumbavu wa hali ya juu, niwaambie kuwa CCM wanaitaji Sana upinzani bungeni, kina Magufuli, Bashiru, polepole na Tiss walivyoshtuka kuwa bunge lazima liwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ndo wakaja kununua hao Covid-19, lakini ilikuwa too late, yaani kwa wizi ule walijipaka kinyesi usoni.
Na watu wengi wa CCM hatukupenda ushenzi ule,, na matokeo yanaonekana wapinzani wamekuwa very strong, wanajenga ofisi nchi nzima na wizi wa mwaka Jana umekuja ku-backfire na Sasa vuguvugu la katiba mpya linazidi kuwa kubwa.
Viongizi wa CCM najua mmejifuza, kutumia manguvu, kununua upinzani na kuiba uchaguzi ni hatari si kwa taifa Bali kwa chama pia