Tutake radhi kijana napendekeza bangi ipigwe marufuku kwa majobless na wasiokuwa na uhakika wa kipato, na ili uvute bangi inatakiwa vigezo viwe kama vile vya kumiliki bunduki na uwe na kibaliBangi iendelee kupigwa vita katika jamii
Ikiongezeka wanaopata fedha ni wauzaji tu waruhusu ili mpate kodi si kila kukicha mnawaza kodi kuongeza mapato kutoka kwa Wananchi na si makampuni ya Nje..