Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
- Thread starter
- #41
Ni vizuri kutokuwa na mawazo machafu kwa mkeo/mmeo (hata kama atafanya uchafu). Hii ndo maana ya ndoa. Ila sentensi yako Mama kaoge kwanza maana jasho limekupiga sana" inaleta tafsiri nyingi mno, zilizo sahihi na zisizo. Uvumilivu unatakiwa.
Mkuu kweli sijawahi kumwambia kitu kama hicho ila kila siku mie nikirudi huwa nasema natoa ng'e eeehhh ngoja nikaoge nzi wasije nizingira...anachekaga sana lkn jana kumwambia yeye...kumbe mkuki kwa nguruwe bwana.....sasa kama ningemwambia mama unatoa ng'e si ndoa ingekufa kabisa?