Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,922
- 122,189
This is a bitter truth ! I call it a serious fact! Mfano, kama take home mtumishi unapata 800,000 kwa mwezi that makes 9.6millions per year , if take home is 1 million = 12millions per year.
Toa matumiz ya chakula , ada za watoto, umeme, maji, ving'amuzi, michango ya harusi, misiba, matibabu n.k.
Bila kutizama fursa mbali mbali zilizopo tukatumia mishahara kidogo tunayopata kama mtaji ni ngumu sana kufanikiwa. Dear members hali halisi ndo hiyo. Let us learn how to think beyond our daily blade!
Tujifunzeni ujasiliamali, nashauri tuhudhurie semina za ujasiriamali tutafakari kwa pamoja fursa zilizopo tuweze kuzitumia( tuje na ubunifu wa hali ya juu) ndiyo pona yetu kama wauguzi.
Kopa benki anzisha chochote na mdhamini wako atakuwa serikali hii unayoilaumu kutokuongezea salary.
Tutaendelea kuwa wavumilivu huku tukijipanga kustaafu mapema na kuwa entrepreneurs.
Japo kua kuongezewa mshahara ni haki yetu hata kama tunafanya plan B
C&P.
Toa matumiz ya chakula , ada za watoto, umeme, maji, ving'amuzi, michango ya harusi, misiba, matibabu n.k.
Bila kutizama fursa mbali mbali zilizopo tukatumia mishahara kidogo tunayopata kama mtaji ni ngumu sana kufanikiwa. Dear members hali halisi ndo hiyo. Let us learn how to think beyond our daily blade!
Tujifunzeni ujasiliamali, nashauri tuhudhurie semina za ujasiriamali tutafakari kwa pamoja fursa zilizopo tuweze kuzitumia( tuje na ubunifu wa hali ya juu) ndiyo pona yetu kama wauguzi.
Kopa benki anzisha chochote na mdhamini wako atakuwa serikali hii unayoilaumu kutokuongezea salary.
Tutaendelea kuwa wavumilivu huku tukijipanga kustaafu mapema na kuwa entrepreneurs.
Japo kua kuongezewa mshahara ni haki yetu hata kama tunafanya plan B
C&P.