Singida ndio home JF-Expert Member Feb 23, 2012 3,192 3,353 Mar 26, 2020 Thread starter #41 kissa anyigulile said: SAUT ilikuwa bora sana Wakati inaitwa Nyegezi Social Training Institute. Enzi za kina Makongoro Mahanga. Wahasibu wengi sana wazuri wametoka pale na CPA zao. Uliza Bujaga Izengo Kadag'o yule mtangazaji wa RTD Click to expand... Mkuu ngoja nikuelimishe kidogo, Cpa haitolewi na chuo bali hutolewa na bodi ya wakaguzi na wahasibu,
kissa anyigulile said: SAUT ilikuwa bora sana Wakati inaitwa Nyegezi Social Training Institute. Enzi za kina Makongoro Mahanga. Wahasibu wengi sana wazuri wametoka pale na CPA zao. Uliza Bujaga Izengo Kadag'o yule mtangazaji wa RTD Click to expand... Mkuu ngoja nikuelimishe kidogo, Cpa haitolewi na chuo bali hutolewa na bodi ya wakaguzi na wahasibu,
K kissa anyigulile JF-Expert Member Apr 21, 2017 1,550 1,733 Mar 30, 2020 #42 Machozi ya Simba said: Mkuu ngoja nikuelimishe kidogo, Cpa haitolewi na chuo bali hutolewa na bodi ya wakaguzi na wahasibu, Click to expand... Bodies ya CPA na CSP zilikuwa zinakwenda pale pale kupeleka review-causes zao na mitihani yao. Hivyo unapiga ndege wawili kwa jiwe moja.
Machozi ya Simba said: Mkuu ngoja nikuelimishe kidogo, Cpa haitolewi na chuo bali hutolewa na bodi ya wakaguzi na wahasibu, Click to expand... Bodies ya CPA na CSP zilikuwa zinakwenda pale pale kupeleka review-causes zao na mitihani yao. Hivyo unapiga ndege wawili kwa jiwe moja.