Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,351
- Thread starter
- #41
Mkuu ngoja nikuelimishe kidogo,SAUT ilikuwa bora sana Wakati inaitwa Nyegezi Social Training Institute. Enzi za kina Makongoro Mahanga. Wahasibu wengi sana wazuri wametoka pale na CPA zao. Uliza Bujaga Izengo Kadag'o yule mtangazaji wa RTD
Cpa haitolewi na chuo bali hutolewa na bodi ya wakaguzi na wahasibu,