Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Hawa naona bado wapo shule za sekondari wanafunzi hawarusiwi kujihusisha na mapenziNenda kasome vyuo vikuu vya kiisilamu,sijui vipo vingapi?
Nimeongea facts sijasingizia kitu ndio maana nimeiita "ukweli mchungu"...
Hii vita Ngoja nisome comments....
Utashukiwa kama mweweee....
Kama umeamua hivyo....
Ukimaliza.....
Njoo Advance Nako...
Kama mbwai mbwai tuu
Basi zungumzia Combinations nazoNimeongea facts sijasingizia kitu ndio maana nimeiita "ukweli mchungu"
Kwa advance wako poa mkuu, shule kibao kama swilla na uwata na nyingine zinafanya vizuri, kuamka ni saa kumi na nusu na kuna mboko za kutosha, ubaya ni kwamba vyuoni huwezi tumia mbinu hizi
1.Kufutiwa kudahili wanafunzi wa degree mara kwa mara, Wengi tumeshudia vyuo kibao vya watakatiku hivi vinavyoanzia na saint xxx vikifutiwa mno udahili, Teku nahisi ni kinara
2. Huko vyuo cya uislamu nako ni vituko , hairuhusiwi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume isipokuwa awepo mtu wa tatu, 2012 nakumbuka kuna wanafunzi walifukuzwa kwa kujihusisha na mapenzi, Yani chuo hiki nikaona ni kama sekondari tu.
3. Mishahara kiduchu, Ukiona tu hali ya walimu ni za huruma, mtu akiwa na gari basi ni ist, Kuna rafiki yangu alipata kazi hivyo vyuo kufundisha degree ila akawa analiwa laki 6 kamamwalimu wa sekondari, Nilibaki nimeduwaa.
.
4.Mrundikano wa masomo hadi kifaransa na hata uwe mwislamu utajifunza ukristo, nakumbuka wanafunzi wa SAUT kuna kipindi waligoma kuhusu hii ishu.
5. Ada kubwa, unakuta chuo ada karibia 2M
6.Kwenye suala la wahitimu wa hivi vyuo kwenda kufundisha vyuo vyenye hadhi kama UDSM, IFM,TIA, MZUMBE, n.k wanakataliwa.
6. Viongozi na Walimu kuwa na elimu ndogo, Mimi hapa chuo cha SAUT Mbeya nasahangaa eti mkuu wa chuo (Principal) ni Mchungajikasomea theology wakati ukienda vyuo vingine hivhi vitu inabidi uwe na PHD kabisa za mambo ya uongozi,
7. Walimu kuwa under qualified (chini ya kiwango) - Ukija kwa walimu napo unabaki mdomo wazi tu maana kuna wanafunzi wa degree wanafundisha degree wenzao, Kweli hii ni haki!!! na wanafanya hivi nadhani ili kuepukana na gharama za kuajiri wenye masters, CPA, phd, n.k. Ushahidi ni dogo moja alimaliza degree chuo cha uhasibu arusha akaulamba hapo chuo flani kufundisha wanafunzi wa degree kwa mshahara wa laki 6
8.Kukosekana kwa hduma za wifi, nimepiga uchunguzi vyuo vya saut mbeya na Teku hawana hivi vitu, Naonaga wanafunzi huwa wanaenda vyuo kama TIA, MUST na Mzumbe ili kupata wifi, Aibu sana hii
Kuna vituko vingine kama mwaka flani chuo cha TEKU kilifungiwa mageti na jiji kwasababu hawakulipa hizi kodi za jiji ilikuwa ni aibu
Kwa hali hii haya makanisa yaendelee kujikita na shule za sekondari ila huku vyuoni wamevamia, Na nimpongeze raisi alivyosema wanafunzi wawe wanajichagulia vyuo maana ile TCU ambayo wanafunzi walikuwa wanapangiwa vyuo ilifaidisha sana hivi vyuo, unakuta mwanafunzi anasukumiwa tu hivyo hivyo hata kama hakipendi chuo[
Kozi gani hyo ataukiwa muislamu utalazimishwa kusomea ukristu ndugu yangu....embu fafanua alafu unaonekana first year wewe si ndio?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wenzako wanasoma wanaelimika wanafanya maisha wewe unakalia kufikiri Chuo gani bora. Endelea na huo Ujinga waenzako wanasonga.1.Kufutiwa kudahili wanafunzi wa degree mara kwa mara, Wengi tumeshudia vyuo kibao vya watakatiku hivi vinavyoanzia na saint xxx vikifutiwa mno udahili, Teku nahisi ni kinara
2. Huko vyuo cya uislamu nako ni vituko , hairuhusiwi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume isipokuwa awepo mtu wa tatu, 2012 nakumbuka kuna wanafunzi walifukuzwa kwa kujihusisha na mapenzi, Yani chuo hiki nikaona ni kama sekondari tu.
3. Mishahara kiduchu, Ukiona tu hali ya walimu ni za huruma, mtu akiwa na gari basi ni ist, Kuna rafiki yangu alipata kazi hivyo vyuo kufundisha degree ila akawa analiwa laki 6 kamamwalimu wa sekondari, Nilibaki nimeduwaa.
.
4.Mrundikano wa masomo hadi kifaransa na hata uwe mwislamu utajifunza ukristo, nakumbuka wanafunzi wa SAUT kuna kipindi waligoma kuhusu hii ishu.
5. Ada kubwa, unakuta chuo ada karibia 2M
6.Kwenye suala la wahitimu wa hivi vyuo kwenda kufundisha vyuo vyenye hadhi kama UDSM, IFM,TIA, MZUMBE, n.k wanakataliwa.
6. Viongozi na Walimu kuwa na elimu ndogo, Mimi hapa chuo cha SAUT Mbeya nasahangaa eti mkuu wa chuo (Principal) ni Mchungajikasomea theology wakati ukienda vyuo vingine hivhi vitu inabidi uwe na PHD kabisa za mambo ya uongozi,
7. Walimu kuwa under qualified (chini ya kiwango) - Ukija kwa walimu napo unabaki mdomo wazi tu maana kuna wanafunzi wa degree wanafundisha degree wenzao, Kweli hii ni haki!!! na wanafanya hivi nadhani ili kuepukana na gharama za kuajiri wenye masters, CPA, phd, n.k. Ushahidi ni dogo moja alimaliza degree chuo cha uhasibu arusha akaulamba hapo chuo flani kufundisha wanafunzi wa degree kwa mshahara wa laki 6
8.Kukosekana kwa hduma za wifi, nimepiga uchunguzi vyuo vya saut mbeya na Teku hawana hivi vitu, Naonaga wanafunzi huwa wanaenda vyuo kama TIA, MUST na Mzumbe ili kupata wifi, Aibu sana hii
Kuna vituko vingine kama mwaka flani chuo cha TEKU kilifungiwa mageti na jiji kwasababu hawakulipa hizi kodi za jiji ilikuwa ni aibu
Kwa hali hii haya makanisa yaendelee kujikita na shule za sekondari ila huku vyuoni wamevamia, Na nimpongeze raisi alivyosema wanafunzi wawe wanajichagulia vyuo maana ile TCU ambayo wanafunzi walikuwa wanapangiwa vyuo ilifaidisha sana hivi vyuo, unakuta mwanafunzi anasukumiwa tu hivyo hivyo hata kama hakipendi chuo
Dadeki, kozi ambayo inabidi iwe masomo matano huko ambako unasema hamna matatizo wanasoma masomo kumi, kwa ufupi kuna matatatizo, Kaka na dada zenu walilalamikaga sana hizi ishu ila sasa hao wachungaji sijui kama wataelewa, Yani hii ni kozi ya uhasibu ila cha kushangaza uzito wa somo la basic english unafanana na uzito wa masomo ya uhasibu, Kaeni chini na hao wachungaji aiseeSaut main campus mbona kipo vizuri
Wacha wasome akili ipanuke.Dadeki, kozi ambayo inabidi iwe masomo matano huko ambako unasema hamna matatizo wanasoma masomo kumi, kwa ufupi kuna matatatizo, Kaka na dada zenu walilalamikaga sana hizi ishu ila sasa hao wachungaji sijui kama wataelewa, Yani hii ni kozi ya uhasibu ila cha kushangaza uzito wa somo la basic english unafanana na uzito wa masomo ya uhasibu, Kaeni chini na hao wachungaji aisee
Mtu chuo kaenda kusomea taaluma ya kuwa muhasibu kuna haja ipi ya kuanza kusomea kozi za kifaransa, sijui basic english, dini, n.k hivi ni vitu vya kujifunzia sekondari ama mtu achukue kabisa kozi maalum, Haiingi akilini mkuu!!! Nimeshangazwa sana kuna kozi yao ya "Bachelor of Science in Procurement and Supply Chain Management " mtu anasomea mambo ya uhasibu badala ya kujikita na procurement π π πWacha wasome akili ipanuke.