Bushloiaz
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 721
- 806
Mkuu hata hawa wa kuitwa wapinzani hili wanalijua kuanzia mwanzo wa multiparty system,unakumbuka walioanzisha vyama vya siasa?wengi walikuwa system na mpaka sasa ndio hao hao so unapokuwa oya oya kumbuka utavunjwa miguu kwa ajili ya maigizo ya hii nchi.Upinzani wa kweli utaanza siku wananchi watakapochoka ila kwa sasa vuta popcorn furahia maigizo.