Ukweli mchungu!! Usalama wa Taifa wanaamini Rais huchaguliwa na kamati ya CCM na si wananchi

tuna taifa lililojaa watu wenye mapenzi kwa viongozi kuliko upenzi kwa taifa lao. wako radhi tuendelee na mfumo huu mbovu ili mradi chama lao lipo madarakan. hawajui chama ni maneno tuu yanayoweza kubadishwa muda wowote, wanaostahili kuongoza wanapaswa kuwa watanzania pasipokujali wanatoka chama gan mrad wana nia njema na taifa hili
Yaani wewe ndo hovyo kabisa!!

Unataka kusema kwamba mtu anapenda ndoa yaani mtu anapenda ile heshima ya kusema kwamba nimeoa au kuolewa kabla hata hujapata wa kukufikisha huko??? Ndg unapata mtu aliyesahihi kwa ajili ya ndoa si ndoa then mpenzi hata kwenye siasa hvyo hvyo. ,,,huwezi ukasimamisha mgombea aje awe rais mtu asiyejielewa.. Asiye na maadili na uchapakazi hiyo ni kazi bure!!!

Hapa usidanganye mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Trump wakati wa kampeni hakuwa na Secret Service wa kumlinda?
 
[Ni wa ccm pasipo na shaka yoyote UOTE="Northman, post: 30106160, member: 405509"]Hivi hawa usalama wa taifa bado ni usalama wa taifa?[/QUOTE]
 
Wewe vipi bwana!!! Hii ndo jambo ambalo nalichukia kuliona kuliko yote. Eti wazungu waje, why do we have this inferiority complex against white people?? Why??
They are nothing to us, they destroyed our civilization, changed our course of history, undermined us and they are still undermining us. Why do you even bring they there!!
Eti waje kutusaidia, kwani sisi hatuwezi tatua matatizo yetu wenyewe??
You hate your leader so much ati unataka wazungu wamtoe off people!!!
Mimi mwenyewe kuna mambo kibao sikubaliani nae. Ila sina chuki ya namna hii.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Braza wasamehe wasidika. Vichwa vya kuku havibebi mizigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani tuwe fair. Yoyote anayeteuliwa kugombeanafasi ya Urais na chama chake hupewa ulinzi na serikalipia chama chake.Mbona hatuongelei wagombeawengine walilindwa na nani? Binafsi sijwahi kusikia malalamiko yamgombea yoyote kunyimwa ulinzi.
 
Usalama wa Taifa wanatakiwa ku-nurture a new democratic political system ambayo itaendelea kustawisha amani na maendeleo ya nchi.

Haya yanayoendelea sasa ni aibu kwa taifa na vizazi vijavyo vitakuja kutuhukumu siku moja.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapa Tanzania hakuna usalama wa Taifa Bali tuna Usalama wa Chama.


IPO siku tuuuuu
 
ww uleta mada acha huo upumbavu acha kuhusisha usalama wataifa na vyama vya siasa ,mmechanganyikiwa kwa speed ya jpm hamna hoja tena mmebaki kuwalilia wazungu tuu ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mmoja ninayemfahamu sana na anayesemekana kuwa mtu wa TISS. Aliniambia Siku moja kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015 kuwa: "kazi ya wananchi kesho no kazi ya kupiga kura tu ..... Kazi ya kuchagua raisi si kazi ya wapiga kura"!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachishindwa kuelewa mtoa mada ni kwamba Magufulu alipochaguliwa na ccm dodoma ilikua na maana kwamba anaenda kumrithi rais aliyyopo madarakani kwa kipindi kile(Yaani kurihi kiti cha mwenyekiti wa ccm taifa), yani JK, sasa inapotokea mrithi wa chama kinachoongoza dola ni lazima alindwe ili kuahakikisha usalama wake hata kabla ya uchaguzi,, sasa wewe ulitaka wamlinde Hashimu Rungwe wa Chauma?
kwa hiyo ndio mpaka majezi mnawavalisha!?
 
Wale wapenda mabadiliko ya kweli tunapaswa kubadili mbinu za kupata yale mabadiliko tunayoyataka.

Tukiongelea uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano kama ni ucahguzi wa wananchi tunajidanganya na tunawadanya wananchi ambao hawana uelewa mpana wa maswala ya nchi yetu.

Taasisi nyeti ya usalama wa taifa haimini katika mfumo wa vyama vingi wala katika mfumo wa kuchaguana katika sanduku la kura. Hivyo basi huu utaratibu wa kupiga kura ni kuhalalisha tuu kile walichokiamua wao huko vyumbani.

Nitatolea mfano kwa uchaguzi uliopita uliomuweka madarakani mheshimiwa magufuli. Taasisi nyeti ya usalama wa taifa ilianza kumlinda tangu pale alipochaguliwa na kikao cha ccm pale dodoma. Na bila aibu wala wasi wasi mlinzi wake waliomuweka tangu anachaguliwa magufuli dodoma ndio mlinzi wake mpaka leo hii. Wewe unaona mimi naona na wao wanaona na hakuna cha kuwafanya.

Kama wao wanaopaswa kusimamia haki wanamtambua mtu kuwa rais pale tuu anapochaguliwa na kamati za ccm wewe ni nani hata uje upindue maamuzi yao katika sanduku la kura??

Nasema hivi huku kufanya uchaguzi ni kupoteza muda na mali za nchi kwa mfumo tulionao.

Tupiganie kubadili mfumo wetu ndipo tuingie kwenye kushindana. Huwezi kushindana na watu unaotegemea wasimamie ushindani.

Huyu hapa chini mlinzi wa rais toka kwenye kampeni na kwa wakati ule alijifanya greengurd toka ccm na sasa ni mlinzi wa rais toka usalama wa nchi .

Tutafika tuu hata kama kwa shida ila tubadili mbinu za kushindana na hawa watu
Utajua
 
Back
Top Bottom