zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,035
- 28,674
Na huu ndio unafiki wa sisi watanzania na inaprove tuna reasoning mbovu kabisaUsalama wa Taifa ndiyo wadhibiti wa siasa na uchumi wa taifa letu, wanaona mbali kuliko ushabiki wetu wa kisiasa, walifanya kazi yao kikamilifu!
Sent using Jamii Forums mobile app
2010 mlisema TISS walimkataa Dk Slaa ila huyo Dk slaa leo yupo CCM kapewa ubalozi kabisa na ikulu anaenda anavyotaka??
Haya magufuli alituaminisha CHADEMA inatumika na mabeberu kumdhoofisha na wafia chama mkasema hyo ndio sababu TISS hawawezi ruhusu CHADEMA ishinde ila kituko wanachama wa CHADEMA wanajiunga CCM wanapewa mpaka wizara refer shonza na waitara!! Je ina maana hawatumiki tena na mabeberu kma mlivyotuaminisha??
Hata huyu lissu pamoja na kuitwa msaliti... leo akirudi CCM atapewa wizara ya sheria na ndio hapa napohoji reasoning ya watanzania ikoje... Wakiwa nje ya CCM ndio mnawaona hawafai wakiingia CCM eti ndio wanafaa !!!
Embu msitafute kichaka cha kujifichia semeni tu TISS ni tawi la CCM hayo mengine ni kujustify tu uhuni wenu that's all