Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,901
- 3,937
Kuna mteja alikuja dukan kwetu majira ya jioni na kununua bidhaa,kwenye saa kumi na mbili hivi,basi ilipofika saa mbili nami nikafunga na kutafuta usafiri ili nirudi nyumbani.
Wakati nipo kituoni nikaona namba ngeni nikapokea huku akinipa maelekezo ya hapa na pale juu ya kifaa chake na kunitaka niende kwakwe nikamuunganishie maana ameshindwa.
Basi bila hiyana nikachukua pikpik akisema yeye atalipia ndipo tukaiyanza safari kwenda huko tabata buyuni.
Nilichokiona kule,barabara za tabata ni za hovyo kuliko hata za mvuha na matombo,mpaka nikawa naongea na yule dereva wa pikpik na kumuuliza hivi huku kuna viongozi wanaoishi huku??Yaan sijui nifananishe na barabara za wapi ni pa hovyo kabisa.
Ukweli useme tofauti ya Yombo na tabata labda yombo uswahilini ila kwa miundo mbinu wapo mbali sana,kwa hali hii bora ukae yombo kwa tusio na magari kuliko kuishi sehemu yenye barabara hata ukitaka ukanunue nyanya mtihani kupita.
NARUDIA TENA
""KINACHOITOFAUTISHA TABATA NA YOMBO LABDA MAJENGO&USWAHILI TOFAUTI NA HAPO BORA UISHI YOMBO KULIKO BAADHI YA MAENEO TABATA"""
babu wa maraha,kwa sasa nipo mvuha navuna ndizi
Wakati nipo kituoni nikaona namba ngeni nikapokea huku akinipa maelekezo ya hapa na pale juu ya kifaa chake na kunitaka niende kwakwe nikamuunganishie maana ameshindwa.
Basi bila hiyana nikachukua pikpik akisema yeye atalipia ndipo tukaiyanza safari kwenda huko tabata buyuni.
Nilichokiona kule,barabara za tabata ni za hovyo kuliko hata za mvuha na matombo,mpaka nikawa naongea na yule dereva wa pikpik na kumuuliza hivi huku kuna viongozi wanaoishi huku??Yaan sijui nifananishe na barabara za wapi ni pa hovyo kabisa.
Ukweli useme tofauti ya Yombo na tabata labda yombo uswahilini ila kwa miundo mbinu wapo mbali sana,kwa hali hii bora ukae yombo kwa tusio na magari kuliko kuishi sehemu yenye barabara hata ukitaka ukanunue nyanya mtihani kupita.
NARUDIA TENA
""KINACHOITOFAUTISHA TABATA NA YOMBO LABDA MAJENGO&USWAHILI TOFAUTI NA HAPO BORA UISHI YOMBO KULIKO BAADHI YA MAENEO TABATA"""
babu wa maraha,kwa sasa nipo mvuha navuna ndizi