Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Naona tribute zimekuwa nyingi sana . Lakini mbona mnasahau ule upigaji kupitia ubalozi wa Libya?
Mrema alizuia dhahabu za taifa letu zisiibiwe.
Alisema siku saba majambazi wakabizi bunduki polizi na walikabidhi.
Tuwe wakweli juu ya mashujaa wa taifa letu
Mrema alizuia dhahabu za taifa letu zisiibiwe.
Alisema siku saba majambazi wakabizi bunduki polizi na walikabidhi.
Tuwe wakweli juu ya mashujaa wa taifa letu