Kimboka
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 353
- 163
Aslam alykum wanajf,
*Tangu nimepangwa kufundisha shule moja Iramba ktk kijiji alichozaliwa mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi,kijiji cha Makunda,nimeendelea kumlaumu Mungu kwanini amenichagua kuwa mwalimu tena ktk wilaya hii ambayo hakuna maendeleo hata kidogo,
*ktk kijiji hiki cha Mwigulu hakuna umeme,hakuna maji safi na salama,hakuna hata zahanati,kuna barabara mbovu,exactly hakuna cha maendeleo hapa nyumbani kwa Mwigulu,
*Zaidi ya yote ikanibidi nifatilie maisha binafsi ya mbunge wa huku kiukweli ni hatari,;Mwigulu hana nyumba hapa makunda ila akija anapumzikia kwenye nyumba ya kaka yake,nyumba ya kaka yake ndio ina solar kijiji kizima hivyo tunachaji simu zetu hapa kwa shs 1000,
>MWIGURU ALIWAHI KUPATA KICHAA;Mhe Mwigulu alisoma mpaka darasa la tano na kisha kuachishwa shule kutokana na tatizo la akili lilokuwa linamkabili,Baada ya kuacha masomo alipotea kijijini hapo kwa miaka kadhaa na akakamatiwa ktk pori la Misigiri,pori ambalo linahistoria ya kuwa kambi za majambazi wateka magari.
*Tangu nimepangwa kufundisha shule moja Iramba ktk kijiji alichozaliwa mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi,kijiji cha Makunda,nimeendelea kumlaumu Mungu kwanini amenichagua kuwa mwalimu tena ktk wilaya hii ambayo hakuna maendeleo hata kidogo,
*ktk kijiji hiki cha Mwigulu hakuna umeme,hakuna maji safi na salama,hakuna hata zahanati,kuna barabara mbovu,exactly hakuna cha maendeleo hapa nyumbani kwa Mwigulu,
*Zaidi ya yote ikanibidi nifatilie maisha binafsi ya mbunge wa huku kiukweli ni hatari,;Mwigulu hana nyumba hapa makunda ila akija anapumzikia kwenye nyumba ya kaka yake,nyumba ya kaka yake ndio ina solar kijiji kizima hivyo tunachaji simu zetu hapa kwa shs 1000,
>MWIGURU ALIWAHI KUPATA KICHAA;Mhe Mwigulu alisoma mpaka darasa la tano na kisha kuachishwa shule kutokana na tatizo la akili lilokuwa linamkabili,Baada ya kuacha masomo alipotea kijijini hapo kwa miaka kadhaa na akakamatiwa ktk pori la Misigiri,pori ambalo linahistoria ya kuwa kambi za majambazi wateka magari.