buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,997
- 7,068
Habarin wakuu
Ngoja niende kwenye mada moja kwa moja.
Watu wengi tunatamani Sana kufanikiwa kimaisha Ila Kuna Jambo lipo nyuma ya pazia ambalo hilo ndio kikwazo cha watu wengi kuishia kulalamika maisha ni magumu.
Kwa miaka mingi tumekua tukihubiriwa kuhusu kufanya kazi kwa bidii, kutunza pesa, kuwa na mikakati mizuri nk
Ninaamin hayo yote watu huwa wanayatimiza.
Kila mtu ameshawahi kufanya kaz kwa bidii Ila matokeo yake hakuna alichopata Ila bado anaendelea kupambana tu na unawezakuta had uhai unakuishia utakua bado hujafanikiwa.
Mafanikio yamejificha kwenye IMANI
Mungu/Yesu
Mtume Mohammed/alha
Mizimu
Waganga
Uchawi
Tafuta dunia nzima hakuna mtu ambaye amefanikiwa kimaisha bila kusaidiwa na kimoja Kati ya hvyo vitu nilivyoorodhesha hapo juu
Najua ni ukweli MCHUNGU hasa kwa wale walokole lazma wataanza kukemea baada ya kuona nimeweka mizimu na waganga.
Ni kweli suala la mizimu lipo na linafanya kazi.
Kuna watu hawafanikiwi kwasababu mizimu yao haipo sawa yaan wewe upo upo tu hata hela haikai mkononi Ila bado unajipa moyo one day yes utatoboa, my friend your wrong.
Ila Kuna watu wengine mizimu yao imewakubali hata asipo fanya kitu yeye pesa anazikamata tu yaan anakua na bahati Sana huwa tunawaita Wana kismati cha hela Ila ukweli ni mizimu yao ndiyo inayowasimamia.
Kuna wengine Iman zao zipo kwenye dini, hawa mafanikio yao ni mwenyezi mungu mwenyewe ndio anatoa baraka kwao na mtu huyu huwa anafanikiwa Sana kwenye mambo yake.
Waganga,. Hapa wapo matajiri wengi sana ambao wamefanikiwa kwa kutumia njia hii, Hawa wapo ambao wameuza nafsi zao au ambao wametoa kafara ya kitu fulani ili wajipatie utajiri.
Hapa bila shaka wale ndugu zangu wa kule Njombe hawana ubishi.
Uchawi, hapa sasa ni mtu binafsi anashiriki uchawi wa kimaendeleo, kwa mfano kumroga mtu ili upandishwe cheo, kuroga wateja wawe wanakuja kwako nk.
Ndugu zangu tunajitahidi sana kupambana na maisha Ila hapa kwenye imani wengi tunachemka. Chagua kimoja ukomae nacho utatoboa. Mimi nipo kwa Yesu😁😁😁🤪 Ila msiniulize kama tayari nimefanikiwa kimaisha au la, ila nimeamua kuwafungulia code ambazo matajiri wengi hawazifungui wao wataishia kwenye:
Fanya kazi kwa bidii
Kuwa na kauli nzuri
Waheshimu watu
Jitume
Lipa kodi
Usifanye biashara haramu (japo wao wanafanya)
Mwenye akili aelewe na mwenye ubongo afunguke
BUZITATA HALICHUNWI HATA KWA LIMBWATA LA KITANGA
Ngoja niende kwenye mada moja kwa moja.
Watu wengi tunatamani Sana kufanikiwa kimaisha Ila Kuna Jambo lipo nyuma ya pazia ambalo hilo ndio kikwazo cha watu wengi kuishia kulalamika maisha ni magumu.
Kwa miaka mingi tumekua tukihubiriwa kuhusu kufanya kazi kwa bidii, kutunza pesa, kuwa na mikakati mizuri nk
Ninaamin hayo yote watu huwa wanayatimiza.
Kila mtu ameshawahi kufanya kaz kwa bidii Ila matokeo yake hakuna alichopata Ila bado anaendelea kupambana tu na unawezakuta had uhai unakuishia utakua bado hujafanikiwa.
Mafanikio yamejificha kwenye IMANI
Mungu/Yesu
Mtume Mohammed/alha
Mizimu
Waganga
Uchawi
Tafuta dunia nzima hakuna mtu ambaye amefanikiwa kimaisha bila kusaidiwa na kimoja Kati ya hvyo vitu nilivyoorodhesha hapo juu
Najua ni ukweli MCHUNGU hasa kwa wale walokole lazma wataanza kukemea baada ya kuona nimeweka mizimu na waganga.
Ni kweli suala la mizimu lipo na linafanya kazi.
Kuna watu hawafanikiwi kwasababu mizimu yao haipo sawa yaan wewe upo upo tu hata hela haikai mkononi Ila bado unajipa moyo one day yes utatoboa, my friend your wrong.
Ila Kuna watu wengine mizimu yao imewakubali hata asipo fanya kitu yeye pesa anazikamata tu yaan anakua na bahati Sana huwa tunawaita Wana kismati cha hela Ila ukweli ni mizimu yao ndiyo inayowasimamia.
Kuna wengine Iman zao zipo kwenye dini, hawa mafanikio yao ni mwenyezi mungu mwenyewe ndio anatoa baraka kwao na mtu huyu huwa anafanikiwa Sana kwenye mambo yake.
Waganga,. Hapa wapo matajiri wengi sana ambao wamefanikiwa kwa kutumia njia hii, Hawa wapo ambao wameuza nafsi zao au ambao wametoa kafara ya kitu fulani ili wajipatie utajiri.
Hapa bila shaka wale ndugu zangu wa kule Njombe hawana ubishi.
Uchawi, hapa sasa ni mtu binafsi anashiriki uchawi wa kimaendeleo, kwa mfano kumroga mtu ili upandishwe cheo, kuroga wateja wawe wanakuja kwako nk.
Ndugu zangu tunajitahidi sana kupambana na maisha Ila hapa kwenye imani wengi tunachemka. Chagua kimoja ukomae nacho utatoboa. Mimi nipo kwa Yesu😁😁😁🤪 Ila msiniulize kama tayari nimefanikiwa kimaisha au la, ila nimeamua kuwafungulia code ambazo matajiri wengi hawazifungui wao wataishia kwenye:
Fanya kazi kwa bidii
Kuwa na kauli nzuri
Waheshimu watu
Jitume
Lipa kodi
Usifanye biashara haramu (japo wao wanafanya)
Mwenye akili aelewe na mwenye ubongo afunguke
BUZITATA HALICHUNWI HATA KWA LIMBWATA LA KITANGA