BY MESS
Wanaowaibia walalahoi ni kama wafuatao: 1. Kakobe 2. Mwingira 3. Mama Lwakatale 4. Mzee wa Upako 5. Gwajima 6. Winners chapel (banana) 7. endelezeni. It is sad wanawaibia pesa zao na wake zao pia mara mia Lowasa anaiibia serikali kuliko hawa mafisadi kupitia jina la Mungu.
Umekosea kumweka kwenye hiyo list ungefanya thorough investigation au umsahau ulikuwa unamaanisha LUSEKELO?