Hakuna kitabu cha imani hasa hzi mbili Christian na Islamic ukakosa la kukosoa,so usiamini biblia pekee ndo ilikosewa.mzungu na mwarabu walishatuchanganya,kubali kataa ndivyo ilivyoBibilia kuna uongo mwingi tu ambao wakristo mnauamini lakini mnashindwa kuamini dunia ni duara? Unaamini nyoka anaweza kuongea lakini huamini dunia inaizunguka jua?
Nigeria mbona hamwataji.Yani shirika la anga aa Urusi, la china japan, ulaya wote wakudanganye wewe tu.
Hata North Korea, India wote hawa wana satelites zinaelea kwenye space
Unatumia hisia ku-argue au?? Kama umefanya utafiti mwenyewe tuambie ulifanyaje fanyaje? Je ulienda huko pande zingine??Tumedanganywa sana na wataalamu wa NASA kuhusu "shape" ya Dunia kuwa dunia ni kama tufe na pia kuwa dunia inajizungusha ili kupata usiku na mchana na pia dunia inazunguka jua ili kupata majira. Hawa jamaa ni waongo sana na uongo huo una malengo pia.
Ukweli ni kuwa:
#1. Dunia ipo flat
#2. Dunia imetulia tuli, haizunguki
#3. Dunia haizunguki jua, ila jua ndo linatembea kuzunguka jua
#4. Dunia ni kubwa kuliko jua au nyota
#5. Picha za shepu ya dunia tunazoziona leo kuwa ni duara ni just visual effects sio live images, wanatudanganya.
#6. Habari ya gravitational force towards earth is just a mythology, usiniulize kuhusu space, hapa sio pake.
Kwa nini nasema hivi:
#1. Naturally maji yapo level. Hayawezi kukaa katika mduara, usiniambie yananing'inia kwa attraction force towards the center of the earth.
#2. Hakuna mto unaopeleka maji mlimani yote huelekea bondeni. Usiniambie kuwa pia ni sababu za uvutano, hiyo ni myth.
#3. Hakuna rubani wa ndege amewahi kuthibitisha kuwa kuna ku bend ili kufuata mzunguko wa dunia.
#4. Usiniambie kuwa horizons ndo husabisha kuonekana " eti" dunia ni kama tufe.
#5. Observatories duniani ni nyingi sana, kwa nini mambo yote ya anga ni NASA pekee ndo wasemaji wakuu, waongo.
Sababu za Uongo:
#1. Kuingiza mawazo kuwa hakuna Mungu
#2. Ukiisha amini hakuna Mungu, basi biblia ni ya Uongo
#3. Kama biblia ni ya uongo basi Yesu harudi, kwa sababu biblia inasema Yesu anaporudi kila jicho litamuona. Kama dunia ni tufe walio upande wa pili hawawezi kumuona at the same time. Hivyo biblia ni kitabu cha zamani sio cha kuamini.
#4. Kwa vile biblia ni ya uongo na hakuna Mungu ( kwa kuwa ni bible tu ndo inatambua uwepo wa Mungu na uumbaji) wakaja na theory za Big Bang ambazo zinasema ulimwengu haukuumbwa na binadamu ametokea si kwa kuumbwa.
#5. The largest obsevatory duniani inaitwa Lucifer ambayo inamilikiwa na Vatican na ndio hao hao wanamiliki mradi wa CERN ambao umeanzisha theory ya BigBang, hivyo basi hawa wana lengo la kutuharibu akili kwa kutuaminisha hatukuumbwa, hivyo hatuna matumaini, Mungu hayupo na mwisho wa dunia haupo, yesu harudi wala hakuna kitu kama hicho.
Nawasilisha, leteni ubishi wenye mawazo, msilete lugha chafu.
Dah, mfano Mussa aliyengeneza njia katikati ya bahari ma watu wanameza hii.Bibilia kuna uongo mwingi tu ambao wakristo mnauamini lakini mnashindwa kuamini dunia ni duara? Unaamini nyoka anaweza kuongea lakini huamini dunia inaizunguka jua?
Poor reasons poor evidences, poor you. Tafuta vitu vya ku criticize Vya level flani ya chini kabisa.Tumedanganywa sana na wataalamu wa NASA kuhusu "shape" ya Dunia kuwa dunia ni kama tufe na pia kuwa dunia inajizungusha ili kupata usiku na mchana na pia dunia inazunguka jua ili kupata majira. Hawa jamaa ni waongo sana na uongo huo una malengo pia.
Ukweli ni kuwa:
#1. Dunia ipo flat
#2. Dunia imetulia tuli, haizunguki
#3. Dunia haizunguki jua, ila jua ndo linatembea kuzunguka jua
#4. Dunia ni kubwa kuliko jua au nyota
#5. Picha za shepu ya dunia tunazoziona leo kuwa ni duara ni just visual effects sio live images, wanatudanganya.
#6. Habari ya gravitational force towards earth is just a mythology, usiniulize kuhusu space, hapa sio pake.
Kwa nini nasema hivi:
#1. Naturally maji yapo level. Hayawezi kukaa katika mduara, usiniambie yananing'inia kwa attraction force towards the center of the earth.
#2. Hakuna mto unaopeleka maji mlimani yote huelekea bondeni. Usiniambie kuwa pia ni sababu za uvutano, hiyo ni myth.
#3. Hakuna rubani wa ndege amewahi kuthibitisha kuwa kuna ku bend ili kufuata mzunguko wa dunia.
#4. Usiniambie kuwa horizons ndo husabisha kuonekana " eti" dunia ni kama tufe.
#5. Observatories duniani ni nyingi sana, kwa nini mambo yote ya anga ni NASA pekee ndo wasemaji wakuu, waongo.
Sababu za Uongo:
#1. Kuingiza mawazo kuwa hakuna Mungu
#2. Ukiisha amini hakuna Mungu, basi biblia ni ya Uongo
#3. Kama biblia ni ya uongo basi Yesu harudi, kwa sababu biblia inasema Yesu anaporudi kila jicho litamuona. Kama dunia ni tufe walio upande wa pili hawawezi kumuona at the same time. Hivyo biblia ni kitabu cha zamani sio cha kuamini.
#4. Kwa vile biblia ni ya uongo na hakuna Mungu ( kwa kuwa ni bible tu ndo inatambua uwepo wa Mungu na uumbaji) wakaja na theory za Big Bang ambazo zinasema ulimwengu haukuumbwa na binadamu ametokea si kwa kuumbwa.
#5. The largest obsevatory duniani inaitwa Lucifer ambayo inamilikiwa na Vatican na ndio hao hao wanamiliki mradi wa CERN ambao umeanzisha theory ya BigBang, hivyo basi hawa wana lengo la kutuharibu akili kwa kutuaminisha hatukuumbwa, hivyo hatuna matumaini, Mungu hayupo na mwisho wa dunia haupo, yesu harudi wala hakuna kitu kama hicho.
Nawasilisha, leteni ubishi wenye mawazo, msilete lugha chafu.
Kama dunia ingekua flat nadhan tungekua na edges yan mwishon mwa hiyo flat surface lakin pia kuhusu maji kupanda mlima ni simple mlima always ni elavation from the earth's surface that means away from the earth therefore gravitation force g inaforce kila kitu kuvutwa kwenye dunia hata ukianguka,umwaga maji,mito kutokupanda mlima na kwasababu force hii inayaforce maj towards the centre of the earth
Jibu lako zuri lakini limekaa kisiasa sana.Hilo swali la kwanza jibu lake ni rahisi sana! Wanawezaje kumuona mtoto kwa ultra sound washindwe hilo? Au unahitaji kuvunja sumaku ndani ili uione nguvu yake ya uvutano(usumaku wenyewe)
Watu wengi wanashindwa kujua dunia ni nini.. Wengi wanadhani dunia ni ardhi peke yake.. Dunia ni ardhi pamoja na atmosphere yake.. Sisi tunaishi duniani ila ila tupo kwenye uso wa ardhi ndani ya atmosphere.. Kuna viumbe vinaishi duniani ila chini ya uso wa dunia(chini ya ardhi)Hiya najiuliza sana maswali kama haya??
Kama dunia ni duara sisi tuko ndani au nje ya hilo duara??
hakuna kitabu kinachoitwa biblia ,biblia nambie,wap ktk hiko hiko kitabu kuna andiko linalosema hiko kitabu kinaitwa biblian.kwq ushahidWe ndo huelewi, wapi biblia inasema nyoka aliongea? Biblia kitabu ambacho kina ujumbe wa kuaminiwa kuliko kitabu kingine vya aina hiyo.. Kuna nyoka wa aina nyingi...nikikuita wewe nyoka unaelewa hivyo hivyo na akili yako ndogo.
Bila shaka hujui hata dunia ni kitu ganiHiya najiuliza sana maswali kama haya??
Kama dunia ni duara sisi tuko ndani au nje ya hilo duara??
Mkuu, jua linapozama magharibi na kuchomoza mashariki linapita wapi kwenye flat earth?Sindano ya mkono ukiiweka umbali wa zaidi ya 100 mita unaweza kuiona kwa macho ya kawaida? Ukiisha pata jibu, jijibu swali lako..
Kama una saa ya mshale chukuloa point ya mshale wa saa ndio jua. Unaona linavyozunguka!? Kuwa flat si kuwa si duara ila ni duara lisilo la mvirinho kama vile discMkuu, jua linapozama magharibi na kuchomoza mashariki linapita wapi kwenye flat earth?