Usije kuwa umesoma HGL halafu unatupotezea muda.Tupe theory yako,tuifanyie proof.Maarifa yaliyopo leo hayakupatikana kirahisi.Watu walisota na mpaka wengine walipoteza maisha.Wewe tusaidie tu kuwa kwa nini Tanzania tuko nyuma kimaendeleo?Hilo la jua na dunia siyo saiz yako.Kwa arguments zako.