Ukweli kuhusu punyeto/kujichua

Ukweli kuhusu punyeto/kujichua

Unakumbuka nabii tito aliwahi kusema et.. Kunajamaa alikuwa anapiga papucha ile kitendo cha kutoa na kuutupa chini Mungu akampiga kombora akafa hapo hapo kwa hiyo
Kuutupa chini zambi sana.
 
Chama Kinaimarika kila kukicha na Mbinu mpya hutolewa kila uchwao.
 
kiukwer chaputa kabla sjaoa nilikuaga mwanachama mzur tu nashukuru baada ya kuoa nikajitoa mupaka sasa nawatoto wawili nashow nasimamia vizur kwa mama msapu wangu
 
Back
Top Bottom