Ukweli kuhusu punyeto/kujichua

Ukweli kuhusu punyeto/kujichua

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
madokta wametoa rai mbalimbali kuhusu kujichua/punyeto... wengine wanasema ina madhra wengine wanasema iko na afya.... kianalojia nataka niwape ufundi wa kupiga hii kitu
ili punyeto iwe salama.... zamani tulikuwa tunaandaa ma-jeans mengi ya kufua ili mikono iwe raini. afu tunakuwa na picha zetu kipindi kile majarida ya bongo na tabasamu yalikuwa yanasaidia... hapo sabuni tulikuwa tunaloweka au unachukua mafuta mengi unajipa raha mwenyewe. Tena ukitaka inoge unatumia mkono wa kushoto.
Siku hizi kujichua kwenu kuna madhara kwa sababu mnapiga bila concentration..mikono ina magaga..wala hamtumii vitu raini(lubricants)...jirekebisheni.
kama mkiendelea na jhuo mchezo wa kusahau misingi mtazidi kupata madhara mnayojitakia but nyeto inabaki kuwa nzuri kwa wale wanao-keep misingi..... nyeto kwa afya
 
Watahalamu waongo hao hata katika biblia wameandika ipo siku kutatokea manabii wa uongo kazi yao kupotosha watu, wapate madhara mfano dhairi BABU WA LOLIONDO.
 
hao CHAPUTA ndo wanaharibu misingi...mi nimewapa jinsi tulivyokuwa tunapiga zamani kiasi ambacho madokta walithibitisha kuwa haina madhara...ila kama hamjui misingi bora muache hiyo kitu
 
madokta wametoa rai mbalimbali kuhusu kujichua/punyeto... wengine wanasema ina madhra wengine wanasema iko na afya.... kianalojia nataka niwape ufundi wa kupiga hii kitu
ili punyeto iwe salama.... zamani tulikuwa tunaandaa ma-jeans mengi ya kufua ili mikono iwe raini. afu tunakuwa na picha zetu kipindi kile majarida ya bongo na tabasamu yalikuwa yanasaidia... hapo sabuni tulikuwa tunaloweka au unachukua mafuta mengi unajipa raha mwenyewe. Tena ukitaka inoge unatumia mkono wa kushoto.
Siku hizi kujichua kwenu kuna madhara kwa sababu mnapiga bila concentration..mikono ina magaga..wala hamtumii vitu raini(lubricants)...jirekebisheni.
kama mkiendelea na jhuo mchezo wa kusahau misingi mtazidi kupata madhara mnayojitakia but nyeto inabaki kuwa nzuri kwa wale wanao-keep misingi..... nyeto kwa afya
Analogia Malenga nasikia Yule Nabii TITO anaehamasisha pombe na kuoa ma house girl ni ndugu yako,vipi kanisa lenu limeishia wapi? leo mko bar gani muda huu?
 
Last edited by a moderator:
mm punyeto nimeipga sana tokea form 1 had sasa..nilipga kwa ku2mia sabun,loshen na mikono mitupu(ninapokosa kilainishi)..nilipga kwa malengo ya kusoma bla kukutana kmwil na msichan mpaka nifike chuo...nkafanikiwa kusoma sasa chuo mwaka wa pili naingia..UDSM..lakin AMINI nnayokuambia punyeto ina madhara makubwa endapo itakuwa too much(aidha kwa kupga mara kwa mara kwa siku,wiki au mwezi au kwa kupga kwa muda mrefu..miaka mingi. au unapopiga bla kilainishi)
MADHARA ya PUNYETO endapo utapga kwa muda mref(mara kwa mara)ni kama yafuatayo
1: mtu kukosa kujiamin hasa 6x6
2 kusahau mara kwa mara kumbuka unapopga ile ishu ubongo unahusika
3.kuwa na matatizo ya kuona
4.nguv za kiume kupungua..kumbuka unasugua uume na mishipa yake inachoka
5.kupungua nguvu za miguuni
NB.hayo ndo nnayoyajua kuhusu puli..sa hv napga mara 2 tu kwa mwezi(nmepunguza). sitarajii kuiacha sa hv(ni tamu) ila ntapunguza
 
mnavojieleza hadi mnatia huruma yote hayo kaleta Zahra White.
 
Last edited by a moderator:
mm punyeto nimeipga sana tokea form 1 had sasa..nilipga kwa ku2mia sabun,loshen na mikono mitupu(ninapokosa kilainishi)..nilipga kwa malengo ya kusoma bla kukutana kmwil na msichan mpaka nifike chuo...nkafanikiwa kusoma sasa chuo mwaka wa pili naingia..UDSM..lakin AMINI nnayokuambia punyeto ina madhara makubwa endapo itakuwa too much(aidha kwa kupga mara kwa mara kwa siku,wiki au mwezi au kwa kupga kwa muda mrefu..miaka mingi. au unapopiga bla kilainishi)
MADHARA ya PUNYETO endapo utapga kwa muda mref(mara kwa mara)ni kama yafuatayo
1: mtu kukosa kujiamin hasa 6x6
2 kusahau mara kwa mara kumbuka unapopga ile ishu ubongo unahusika
3.kuwa na matatizo ya kuona
4.nguv za kiume kupungua..kumbuka unasugua uume na mishipa yake inachoka
5.kupungua nguvu za miguuni
NB.hayo ndo nnayoyajua kuhusu puli..sa hv napga mara 2 tu kwa mwezi(nmepunguza). sitarajii kuiacha sa hv(ni tamu) ila ntapunguza








kwa kweli hata mimi huwa nafanya ila puchu ina madhara makubwa napata maumivu makali sana kwenye miguu nikitembea kwa muda mrefu ila kwa sasa ninamiezi mitatu nimepunguza naona unafuu. Mwenyezi Mungu atusaidie tuache kabisa
 
acheni huo mchezo ni mbaya sana,sishauri hata kidogo kwani madhara yake ni makubwa kimwili hata kiakiri,huathiri mfumo wa ubongo.tena ni dhambi kubwa mana unakuwa unazini katika mwili wako mwenyewe,pili unakuwa unakaribisha pepo wachafu ambao huzidi kukuwakisha tamaa ya uzinzi na unaweza kuzini hata na ndugu zako wa karibu mana akiri yako inakuwa imetawaliwa na zinaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm punyeto nimeipga sana tokea form 1 had sasa..nilipga kwa ku2mia sabun,loshen na mikono mitupu(ninapokosa kilainishi)..nilipga kwa malengo ya kusoma bla kukutana kmwil na msichan mpaka nifike chuo...nkafanikiwa kusoma sasa chuo mwaka wa pili naingia..UDSM..lakin AMINI nnayokuambia punyeto ina madhara makubwa endapo itakuwa too much(aidha kwa kupga mara kwa mara kwa siku,wiki au mwezi au kwa kupga kwa muda mrefu..miaka mingi. au unapopiga bla kilainishi)
MADHARA ya PUNYETO endapo utapga kwa muda mref(mara kwa mara)ni kama yafuatayo
1: mtu kukosa kujiamin hasa 6x6
2 kusahau mara kwa mara kumbuka unapopga ile ishu ubongo unahusika
3.kuwa na matatizo ya kuona
4.nguv za kiume kupungua..kumbuka unasugua uume na mishipa yake inachoka
5.kupungua nguvu za miguuni
NB.hayo ndo nnayoyajua kuhusu puli..sa hv napga mara 2 tu kwa mwezi(nmepunguza). sitarajii kuiacha sa hv(ni tamu) ila ntapunguza

mkuu kwanini huwezi acha??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acheni huo mchezo ni mbaya sana,sishauri hata kidogo kwani madhara yake ni makubwa kimwili hata kiakiri,huathiri mfumo wa ubongo.tena ni dhambi kubwa mana unakuwa unazini katika mwili wako mwenyewe,pili unakuwa unakaribisha pepo wachafu ambao huzidi kukuwakisha tamaa ya uzinzi na unaweza kuzini hata na ndugu zako wa karibu mana akiri yako inakuwa imetawaliwa na zinaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tufanyaje????
 
Back
Top Bottom