Ukweli kuhusu mmiliki wa Yerusalemu

Ukweli kuhusu mmiliki wa Yerusalemu

ACHA KUDANGANYA WATU, HISTORIA , WANA ALKEOLOJIA, VINAONESHA HAPAKUWAHI KUWEPO MSIKITI HAPO,

Eti malaika alijenga msikiti, wakati msikiti wa kwanza umejengwa baada ya kuja Muhamad, tena awali alikuwa anasali na wayahudi kwenye HEKALU la suleman, Alipotokewa na shetan, na kupewa UTUME WA UONGO, ndio mzozo na wayahudi ukaanza...

Maandiko ya Qur-an yanaonesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.
-Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu.
(Qur-an 2:144 fafanuzi uk 34)

Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad
alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo, n.k zilianza
kuonekana katika maisha ya
Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe Farsy).


-Hilo lilimfanya Muhammad
kuanza kupingwa na wayahudi hao, Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile., Kutotia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9], na Kuanza tabia ya kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana
kutofautiana na yale ya kibiblia(TANAKH).
Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadihayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an inonyesha hilo.

Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta mafunuo hayo kwa Muhammad.
Na Ibada ya ijumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.


-Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika, Fuatilia katika aya
zifuatazo:

Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi. ,walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na
ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa
Yathrib (madina),ili apingane na WAYAHUDI, kumbuka awali alifata mila zao na alisali nao siku ya sabato(JUMAMOSI).

KUANZIA HAPO MUHAMMAD AKAPANDIKIZA CHUKI KWA WAFUASI WAKE DHIDI YA MYAHUDI, Quran imejaa Aya lukuki za kuwachukia wayahudi hasa.

Mungu ibariki ISRAEL ,Mungu wabariki Wayahudi


BIBLIA TAKATIFU INASEMA SIKU ZA MWISHO,WAYAHUDI WATAUTAMBUA UKRISTO NA KUUFATA

Hongera sana ila je hao wayahudi walimuamini / wanamuamini Yesu? Au hawamuamini ? Naomba Pía maoni yako kuhusu Imani ya kiyahudi na kikristo ! Je wapi kwenye biblia inasema kuwa wayahudi siku Za mwisho watakuwa wakristo ? Maandiko nisaidie tafadhali.
 
TOFAUTI YA WAKRISTO NA WAISLAM NI KUWA, WAISLAM WANAWAAMINI MITUME WOTE WALIO TUMWA NA MUNGU MMOJA, NA KWAMBA MITUME WOTE HAO WALIFUNDISHA KITU KIMOJA, KWAMBA "BWANA MUNGU WAKO, NI MUNGU MMOJA, MUABUDU NA WALA USIMFANYIE WASHIRIKA" HIVYO KWA MUJIBU WA UWISLAM WALE WALIO MFUATA IBRAHIM, NUH, MUSSA, DAUD, SELEIMAN, ISSA NA MITUME WENGINE WOTE WALIOTUMWA NA HUYO MUNGU MMOJA WOTE NI WAISLAM NA MAFUNZO YAO NI MAMOJA.

KWA MUJIBU WA UISLAM, SEHEMU TATU TAKATIFU DUNIANI, MAKKAH, MADINA NA YERUSALEM, SEHEMU HIZO ZILISHACHAGULIWA NA MUUMBA KUWA NI TAKATIFU KABLA HATA BINADAM WA KWANZA HAJAUMBWA.

SABABU SEHEMU HIZI MOLA MWENYEWE KAZITOFAUTISHA KWA UTUKUFU NA SEHEM NYINGINE DUNIANI, MWENYEWE MOLA MTUKUFU AKAWEKA SHARTI NA MASHARTI MAHUSUSI KWA WAKAZI NA WANAOINGIA KATIKA MIJI HIYO.
NDIYO UTAONA WATU WALIYO ITWA WAISRAEL WALIPOAHIDIWA MJI HUO WALIPEWA SHARTI MOJA, NALO NI KUSIMAMISHA UFALME WA MUNGU MMOJA NA NEDAPO WATAENDA KINYUME NA HIVYO BASI HAWATAKUWA NA HAKI YA KUKAA KATIKA MJI HUO KAMA AMBAVYO WALIVYOIOTEZA HAKI HIYO WALIOKUWA KABLA YAO. NA KWA MUJIBU WA MAELEZO YAKO UMELIONESHA VIZURI HILO NAMNA GANI WALIADHIBIWA NA HATIMAYE KUONDOLEWA KATIKA MJI ULE SABABU WALIACHANA NA MAFUNZO UA MUNGU MMOJA.

KWA SASA AMBACHO KINAWATATANISHA WATU NI JE WAYAHUDI WANADAI UHALALI WA KUWEMO MULE SABABU WAO NI WAYAHUDI AU SABABU WAO NI WAFUASI WA MUGNU MMOJA.

TUKISEMA SABABU WAO NI WAYAHUDI INABIDI KUICHAMBUA ZAIDI, WAYAHUDI KWA MAANA YA WAFUASI WA DINI YA KIYAHUDI AU WAYAHUDI KWA MAANA WAO NI KIZAZI CHA YAKUB.

DAI LA WAYAHUDI KWA MAANA YA DINI YAO, HAPAKUWA NA DINI INAYOITWA 'DINI YA WAYAHUDI' KUTOKA KWA MUNGU MMOJA, WALA HAWAKUPEWA AHADI YA KUISHI KWA SABABU WANAFUATA DINI YA 'UYAHUDI' BALI KWA SABABU WAO WATAJISALIMISHA KWA KUFUATA AMRI ZA MUNGU MMOJA, KUJISALIMISHA HUKO NDIKO KUNAKOITWA 'UISLAM' YAANI UMESALIMU AMRI, YAANI UMEJISALIMISHA KWA MUNGU MMOJA.

LAKINI SOTE TUNAJUA HAWAJA JISALIMISHA, NA WALIWAKATAA MITUME WA MUNGU MMOJA NA HATA KUFIKIA KUWAUWA NA KUPANGA MIPANGO NA NJAMA ZA KUWAUWA MITUME HAO. HIVYO WAO WANA MUNGU WAO MWINGINE LAKINI SIYO MUNGU WA IBRAHIM, YAKUB, ISMAIL, ISHAQ, MUSSA, ISSA NA MUHAMMAD KUTAJA KWA UCHACHE. HIVYO HAWANA HAKI YA KUDAI ARIDHI HIYO SABABU SHARTI LA KWANZA NA LA MSINGI LA KUISHI HAPO WAMELIKATAA.

LAKINI BADO TUKISEMA WAO NI WAYAHUDI KWA MAANA YA HIYO DINI YAO YA 'KIYAHUDI' MBONA KUNA WAYAHUDI WAKIGANDA, AMBAO HAWANA DAMU YA YAKOB KUNA WAYAHUDI WA ETHIOPIA HAWANA DAMU YA YAKOB, HATA HAPA TANZANIA WAPO WANAO SEMA WANAFUATA DINI YA KIYAHUDI, JE NA HAWA NAO WAKALILIE UHALALI WA KUKAA KWENYE ARIDHI HIYO SABABU WANAFUATA DINI YA 'UYAHUDI'. LAKINI UTAWALA WA KIZAYAUNI UMEWAKATALIA NA KUWARUDISHA WAYAHUDI WA UGANDA KWAO KWA KUWAAMBIA WAO SI WAYAHUDI, HIVYO HAWANA HAKI HIYO.

NENDA NEY YORK, NENDA CHINA, UINGEREZA NA KWENGINEKO, HATA KWENYE NCHI ZA KIARABU WAPO WAYAHUDI KWA MAANA YA KUFUATA IMANI NA DINI YA 'KIYAHUDI' JE MCHINA AJE KUDAI UHALALI WA KUKAA PALESTINE SABABU YEYE ANAFUATA DINI YA KIYAHUDI? JE MMATUMBI KAMA MIMI NA WEWE KWA SABABU TUNAFUATA DINI YA 'KIYAHUDI' TUENDE TUKADAI UHALALI WA KUISHI PALE, LAKINI WAPO WENZETU WALIO KWENDA KUTOKA UGANDA NA WAKAFUKUZWA, HATA WAETHIOPIA NAO WALIENDA KWA KISINGIZIO HICHO HICHO WAKAFUKUNZWA, KWAMBA WAO SIYO WAYAHUDI.

KWA HIYO UTAONA WAZAYUNI WANAWAFUKUZA WASIO KUWA WAYAHUDI KWA MAANA YA DAMU YA YAKOBU KUTOKUKAA MLE, HIVYO WAO WANAHALALISHA KUISHI KWA MAAN YA DAMU YAO KUWA NI DAMU YA YAKOB NA SIYO KWA MAANA WAO NI WAFUASI WA DINI YA MUNGU MMOJA. LAKINI KIGEZO HICHI WALICHO KILETA HAKIKUWEPO KATIKA MAKUBALIANO YA AWALI WALIPO AHIDIWA KUPEWA ARIDHI HIYO.

HIVYO KWA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA KWAMBA WAO WANAYO DAMU YA YACOB BASI WAKAE, UJUE HAPO WANATUMIA MABAVU, UBABE, NGUVU UNYANYASAJI NA KILA HILA MBAYA SABABU RIDHAA YA KUKAA KULE SI KWASABABU YA DAMU YAO, BALI KWASABABU YA KUFUATA MAAMRISHO YA MUNGU MMOJA NA KUSIMAMISHA UTAWALA WAKE.

LAKINI TUKIANGALIA HICHO KIGEZO CHA PILI CHA DAMU, ' DAMU YA YAKOB' JE NI KWELI WAO WANAYO DAMU YA YAKOB? AU NI UJANJA UJANJA NA UHUNI TU NDIYO WANAO FANYA ... NI SIKUCHOSHE , USINICHOSHE, PITIA HILI BANDIKO HAPA KISHA UTAHUKUMU MWENYEWE ...

salim msangi: TAIFA TEULE na URONGO WA ZAMA ZOTE.


Kwanza tuanze na mwaka wa 1948 ambao Israel ilitanganzwa kuwa taifa. Ukiangalia haraka haraka utagundua kuwa tamko la Rais Trump kuwa Yerusalem ni Mjii mkuu wa Israel laweza kuwa la kinabii, maana limetamkwa siku chache kabla ya kuingia 2018. Ikimaanisa 2017 kutoa 1948 ni miaka 70.

Je, miaka 70 maana yake nini Kibilia?

UNABII WA KWANZA:
“Kwa sababu [Waisraeli] hamkuyatii maneno yangu [Mungu], tazama, ninatuma . . . Nebukadreza mfalme wa Babiloni, . . . , nami nitawaleta wao [Wababiloni] juu ya nchi hii na juu ya wakaaji wake . . . Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”—Yeremia 25:8-11.

UTIMIZO:
Baada ya kulizingira jiji hilo kwa muda mrefu, Nebukadneza alilipora na kuliharibu Yerusalemu katika mwaka 607 K.W.K. Pia aliyashinda majiji mengine ya Yudea, kutia ndani Lakishi na Azeka. (Yeremia 34:6, 7) Aliwahamisha waokokaji wengi na kuwapeleka Babiloni ambako walikaa wakiwa mateka kwa miaka 70.

Historia inafunua nini?
● Biblia inaonyesha kwamba Nebukadneza ndiye aliyekuwa mfalme wa Babiloni karibu na wakati ambapo Yerusalemu liliharibiwa. Vitu vya kale vilivyochimbuliwa vinaunga mkono kile ambacho Biblia inasema kuhusu kuwapo kwake. Jiwe fulani la shohamu lililo na mchongo limewekwa huko Florence, Italia. Sehemu fulani ya maandishi yaliyo juu ya jiwe hilo yanasema hivi: “Kwa heshima ya Merodaki, bwana wake, Nebukadneza, mfalme wa Babiloni, alipokuwa hai aliagiza hili lijengwe.” Nebukadneza alitawala kuanzia mwaka wa 624 hadi 582 K.W.K.
● Kitabu The Bible and Archaeology kinasema kwamba mambo yafuatayo yamethibitishwa baada ya eneo la Lakishi kuchimbuliwa na kufanyiwa uchunguzi: “Uharibifu wa mwisho ulikuwa wenye jeuri, na moto ulioharibu jiji [Lakishi] ulikuwa mkali sana hivi kwamba mawe ya chokaa yaligeuzwa kuwa ungaunga wa chokaa.”

UNABII WA PILI:
“Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni [mimi Mungu] nitawakazia ninyi fikira [Wayahudi walio uhamishoni], nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa [nchi ya Yuda].”—Yeremia 29:10.

UTIMIZO:
Baada ya miaka 70 ya uhamisho, kuanzia 607 hadi 537 K.W.K., Mfalme Koreshi wa Uajemi aliwaachilia Wayahudi waliokuwa utekwani na kuwaruhusu warudi nyumbani kwao ili wakajenge upya hekalu huko Yerusalemu.—Ezra 1:2-4.
Historia inafunua nini?

● Je, Waisraeli waliendelea kuwa mateka Babiloni kwa miaka 70 kama Biblia ilivyotabiri? Hebu ona maelezo ya Ephraim Stern, ambaye ni mmoja wa wataalamu wakuu wa wachimbuaji wa vitu vya kale nchini Israel. “Kuanzia mwaka wa 604 K.W.K. hadi 538 K.W.K.—hakuna uthibitisho unaoonyesha kuwa kuna mtu aliyeishi nchini Israeli. Wakati huo, hakuna hata mji mmoja ulioharibiwa na Wababiloni unaoonekana kuwa ulikuwa na watu.” Kipindi hicho ambacho hakukuwa na mtu katika eneo lililoshindwa kinapatana sana na uhamisho wa Waisraeli kupelekwa Babiloni kuanzia 607 hadi 537 K.W.K.—2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21.

Baada ya utawala wa Sulemani, taifa la Israeli likagawanyika sehemu mbili. Makabila kumi ya kaskazini waliitwa "Israel," na wao walidumu miaka 200 kabla ya hukumu ya Mungu kwa ajili ya ibada yao. Asiria ikatwaa Israeli kama watumwa karibu 721 BC. Makabila mawili katika kusini yaliitwa "Yuda," na wao walidumu muda mrefu kidogo, lakini hatimaye, pia, wakageuka kutoka kwa Mungu. Babeli aliwachukua mateka 600 BC

Miaka 70 baadaye, Mungu kwa neema aliwaleta mabaki ya wafungwa nyumbani kwa nchi yao wenyewe. Yerusalemu, mji mkuu, ulijengwa upya karibu 444 BC, na Israeli kwa mara nyingine tena ikawa na urahia wa taifa.

Kubomolewa kwa hekalu: Yesu alisema katika Mathayo 24:2, "...amin, amin nawaambieni, halitasalia hapa jiwe ambalo halitabomoshwa". Hii ni baada ya wanafunzi wake kumuonesha mawe ya hekalu na misingi yake ilivyo imara.Hekalu lilikuja kubomolewa miaka 70 AD.
329e13217ed2cf8ac84087ee7a39418d.jpg


Na sasa eneo hilo lilipokuwepo hekalu limejengwa msikiti wa alqsa. ,Lakini Kuna watu wanawadanganya wenzao kuwa SULEIMAN ndio alijenga huo msikiti ,Kitu ambacho sio kweli,

Hebu jiulize , ikiwa Muhamad kaja na uislamu miaka ya 600s AD , na kipindi hicho ndipo akaanza kujenga misikiti. , awali hapakuwa na Jengo linaloitwa msikiti,

Hili jambo hata mwenyewe muhamad, akijua ukweli huu, katika Quran 22:40 ameyatofautisha majengo haya KANISA, SINAGOGI, HEKALU NA MSIKITI.

MUNGU kupitia Nabii isaya miaka 2700 iliyopita alinena haya juu ya Taifa la wayahudi(ISRAELI)

ISAYA 14

"1 Maana Bwana atamhurumia Yakobo, atamchagua Israeli tena, naye atawaweka katika nchi yao wenyewe; na mgeni atajiunga nao, nao wataambatana na nyumba ya Yakobo.

2 Na hao mataifa watawatwaa na kuwaleta mpaka mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watawamiliki, na kuwafanya watumishi na wajakazi katika nchi ya Bwana; nao watawachukua hali ya kufungwa watu wale waliowafunga wao, nao watawamiliki watu wale waliowaonea"

KATIKA QURAN hakuna neno YERUSALEMU, biblia inayotumiwa na wayahudi na wakristo ,AGANO LA KALE/TANAKH imelitaja mara 5000+ neno yerusalemu, wakati Quran ikitafuta ushahidi wakuokoteza , ili kuhadaa watu kuhusu Uhalali wa umiliki wa YERUSALEMU.
 
Ukweli mtupu, ila waislamu watakwambia ibrahimu na adam na Yakobo au israel walikuwa waislamu,

Wakati uislamu imekuja juzi tu, yaan hiv vituko,

Muhamad kaja na uislamu na sala zake 5, kabla hakuna mabaki wala ushahid kuwa paliwahi kuwepo dini ya uislamu,

Naweza kusema ubudha una umri mkubwa kuliko uislamu
ukisikia waislam wanampiga mawe shetani kule Makkah fahamu kua wanaadhimisha Ibrahim alivokua akimfukuza shetani aliekua akimshawishi asimtoe kafara mwanae kama alivoagizwa na m/mungu
 
mnalishwa matango pori weweeee, na nyie mnakubali tu. aliyewalaani aliwaharibu kwelikweli. Mmekomaa tu tu Ibrahi Muisalmu. Uilslam umeletwa na Mohammad wenu miaka mingi sana hata baada ya Ukristo, huo uislam Ibrahimu aliupatae! Huko kwa waassi wenu wa Uislam hamna manabii? Kwani mmng'ang'anie Akina Musa, Daudi, Suleman, Zakaria ambao wote ni Wayahudi na wakati huo huo Wayahudi mnawalaani? Hakika mnaangamia kwa kukosa maarifa. Sasa mwenye Uislam wake amesema anaanzisha uhusiano rasmi na Israel wakati nyie mambwa mkotoana macho humu bi
kubwabwaja kunasaidia kutangaza ujinga wako..nani anamiliki uislam?..unaweza kuleta ushahidi kwamba uislam uliletwa na Muhammad?
 
ACHA KUDANGANYA WATU, HISTORIA , WANA ALKEOLOJIA, VINAONESHA HAPAKUWAHI KUWEPO MSIKITI HAPO,

Eti malaika alijenga msikiti, wakati msikiti wa kwanza umejengwa baada ya kuja Muhamad, tena awali alikuwa anasali na wayahudi kwenye HEKALU la suleman, Alipotokewa na shetan, na kupewa UTUME WA UONGO, ndio mzozo na wayahudi ukaanza...

Maandiko ya Qur-an yanaonesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.
-Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu.
(Qur-an 2:144 fafanuzi uk 34)

Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad
alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo, n.k zilianza
kuonekana katika maisha ya
Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe Farsy).


-Hilo lilimfanya Muhammad
kuanza kupingwa na wayahudi hao, Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile., Kutotia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9], na Kuanza tabia ya kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana
kutofautiana na yale ya kibiblia(TANAKH).
Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadihayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an inonyesha hilo.

Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta mafunuo hayo kwa Muhammad.
Na Ibada ya ijumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.


-Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika, Fuatilia katika aya
zifuatazo:

Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi. ,walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na
ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa
Yathrib (madina),ili apingane na WAYAHUDI, kumbuka awali alifata mila zao na alisali nao siku ya sabato(JUMAMOSI).

KUANZIA HAPO MUHAMMAD AKAPANDIKIZA CHUKI KWA WAFUASI WAKE DHIDI YA MYAHUDI, Quran imejaa Aya lukuki za kuwachukia wayahudi hasa.

Mungu ibariki ISRAEL ,Mungu wabariki Wayahudi


BIBLIA TAKATIFU INASEMA SIKU ZA MWISHO,WAYAHUDI WATAUTAMBUA UKRISTO NA KUUFATA
wapi Muhammad katangaza ijumaa ni siku ya sala..ukithibitisha nabatizwa leoleo
 
Waliousoma UFUNUO wa YOHANA vizuri na kuuelewa...
Inasemaje kuhusu kubomolewa Hekalu alilojenga Suleiman na kujengwa msikiti...
 
Hongera sana ila je hao wayahudi walimuamini / wanamuamini Yesu? Au hawamuamini ? Naomba Pía maoni yako kuhusu Imani ya kiyahudi na kikristo ! Je wapi kwenye biblia inasema kuwa wayahudi siku Za mwisho watakuwa wakristo ? Maandiko nisaidie tafadhali.
Heshima kwako...
Kwanza niseme kuwa wayahudi sio wakristo (baadhi ni wakristo) pili Uyahudi ni dini kongwe kuliko ukristo. Ukristo umeletwa na Yesu Kristo (wafuasi wa Kristo)

Ila wakristo na Wayahudi huamini katika Mungu mmoja, zaidi Biblia takatifu kimewahasa wakristo na watu wote "ATAKAYE IBARIKI ISRAELI NA YEYE NITAMBARIKI, ATAKAYEMLAANI ISRAELI NA MIMI NITAMLAANI" hayo ni maneno ya Mungu aliye hai.

Sasa basi kwa mkristo anayelijua neno ni lazima aibariki /kuitakia mema/kuiombea mema Taifa la Israeli.
 
mnalishwa matango pori weweeee, na nyie mnakubali tu. aliyewalaani aliwaharibu kwelikweli. Mmekomaa tu tu Ibrahi Muisalmu. Uilslam umeletwa na Mohammad wenu miaka mingi sana hata baada ya Ukristo, huo uislam Ibrahimu aliupatae! Huko kwa waassi wenu wa Uislam hamna manabii? Kwani mmng'ang'anie Akina Musa, Daudi, Suleman, Zakaria ambao wote ni Wayahudi na wakati huo huo Wayahudi mnawalaani? Hakika mnaangamia kwa kukosa maarifa. Sasa mwenye Uislam wake amesema anaanzisha uhusiano rasmi na Israel wakati nyie mambwa mkotoana macho humu bi
Hivi dogo hujui kuwa bani Israel ni makibila 12 sa si bani Israel wote ni Wayahudi. Afu nyie mnasema Yakoub ndio Israel alipigana na Malaika wa Mungu hivi kitabu chenu ni cha mlevi au mvuta bangi? Mtume wa Mungu apigane na Malaika wa Mungu afu amshinde vita, afu abadilishwe jina hahaha. Kweli wakristo mnakazi kufahamu. Huwezi kujuwa kama uislam ni dini walio kuja nao Mitume wote. Sababu bibilia inasema Malaika wa Mungu kapigwa na Mtume wa Mungu. Kweli wafuasi wa shetani ni mashetani tu. Hata Mtume Ibrahim mlisema kazaa haramu. Yani kitabu cha Mungu kiseme Nabii wa Mungu kazini basi hicho kitakuwa si kitabu cha Mungu sababu Manabii Hawazini wala Hawawezi kupigana na Malaika
 
wapi Muhammad katangaza ijumaa ni siku ya sala..ukithibitisha nabatizwa leoleo
Hata hili hujui?

Nenda katafute kwenye Quran utaona ijumaa ilivyoanza, lakin muhamad mjanja ,awali alisali jumamos na wayahud ,ndio maana QURAN imeitukuza siku ya Jumamosi kama takatifu ,wakati ijumaa imeisema kama siku ya kazi tu,
 
ukisikia waislam wanampiga mawe shetani kule Makkah fahamu kua wanaadhimisha Ibrahim alivokua akimfukuza shetani aliekua akimshawishi asimtoe kafara mwanae kama alivoagizwa na m/mungu
Leta andiko kwenye quran kuthibitisha hayo usemayo
 
Kabisa na wewe unaiamin Quran hii iliyokuja na muhamad miaka karibu 500 baada ya kristo?

Maana maandiko ya kabla ya huo msahafu, HAYASEMI KUWA WAYAHUD WATAPOTEA,
Mimi nakuliza swali moja wewe na wakristo wote wakusaidie. Nani aliye leta dini ya ukristo? Je ni Nabii Ibrahim? Je ni Nabii Musa? Je ni Nabii Yakoub au Yesu? Nipe dalili zako wapi hao walisema dini yao ni ukristo na mfate ukristo. Kama huna kubali tu ukristo ni dini ya yule shetani wenu Paulo full stopped.
 
Kama mwisho wa dunia waisrael watapotea, je huo ni mwisho wa dunia au mwisho wa Israel?
Yote ni sambamba tu hivi we unadhani utaishii miaka mingapi bila kufa? Na ukifa ni mwisho wa dunia kwako au mwisho wako tu.
 
Dogo wacheni kelele Masjid AL Quds ulijengwa na Malaika na badae Mwenyezi Mungu akamuamrisha Nabii Ibrahim ahame kutoka Iraq kwenda ardhi ya Kinaani na ardhi ya Kinaani ni ardhi ya kiarabu ambao ni wa Palastna. Mke wa Nabii Ibrahim alipokufa Sara. Nabii Ibrahim ilibidi anune ardhi ya kumzika mke wake. Kuhama kwa Nabii Ibrahim kutoka Iraq kunaonyesha wazi kabisa si kila anaye hama akienda kwingine anapewa haki ya kuwa mwenyeji wa pale. Kila Ardhi au nchi inawatu wake. Ingekuwa vile basi Nabii Ibrahim asinge nunua ardhi ya kumzika mke wake Sara, kasomeni history mjue kwanza sio mnapurukuta tu na kuongea kama walevi. Nabia Suleiman alikuja ujenga msikiti baada ya kuwa umebolewa kama alivyo ujenga Nabii Ibrahim bada ya Malaika wa Mungu kujenga na kubomolewa. Lazima mfahamu wazi Qibla ya kwanza ya waislam ilikuwa pale Jeruselam ambayo tunaita Al Qudis.Msilete za kuleta hapa eti wamasai warudi Ethopia na Wagoni warudi South Africa. Wapeni bas Warabu Zanzbar kama ni vile
Mh acha pumba bwana soma vizur kitabu chako kitakatifu! Nani alikuambia mayahudi wa zamani walikuwa waislamu? Uislamu ulianza miaka ya 600AD , nashangaa sana waafrika kushadadia haya mambo wakati hata undani wake hawaujui !. Yenyew quran inakuambia likikutatiza neno katika kitabu kaulize kwa waliowatangulieni kuyajua haya! Upo hapo? Na kibla kuhamishwa pale ilikuwa ni kwasababu ya kutokukubalika kwa Uislamu maeneo yale ya Yerusalemu. Kachunguze vizur, kwanin maeneo yanayoizunguka Israel kuna idadi kubwa zaidi ya Wakristu? Kuliko maeneo mengine ya mashariki ya kati ambako ni chimbuko la Uislamu?
 
Wenye kujua naombeni mnieleweshe
1.Hivi huu ugomvi una u islam na ukristo ndani yake?
2.Hivi akina Netanyau ni wayahudi? na kama ni wayahudi ni wayahudi wa dhehebu gani?
3.Walioko palestina wote ni waislam?
 
Yani swali la kitoto sana, ungemuliza Nabii Ibrahim nwaka gani alimrishwa na Mungu ahame Iraq mpaa Ardhi ya Kinaan. We jiulize vipi Nabii Ibrahim alienda tu kule bila sababu na nani aliye muambiea ahame kutoka Iraq mpaa Ardhi ya Kinani kama si Malaika wa Mungu.
Sawa alihama ila kwanini watoto wake ambao ni waisrael sio waislamu kama unavyotaka kutuaminisha? Na pia jiulize kwanini yale masinagogi ya mitume wa kwanza yapo mpaka leo hii kule Syria, Jordan, Uturuki, Iraq na hata Iran na mpaka leo hii kunadescendants ambao ni wakristu na sio waislamu?. Kwanini wale wakristu wa kale wapo mpaka leo ? Kama Ibrahim angekuwa ni muislamu kwanin uislamu ulianza 600AD
 
Back
Top Bottom