Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

Madaktari wamuumbua Pinda, ni kwa mara nyingine PM anatajwa wazi wazi kusema uongo..madaktari wafafanua na kueleza hakuna walilokubaliana na serikali katika madai yao tofauti na Pinda alivyoeleza bungeni
 
Siungi mkono Mgomo wa Madaktari.....Wamejaa tamaa, jeuri, wanatumiwa na hawana uzalendo.
 
naunga mkono mgmo wa madaktari!
hii ni laana nyingine kwa serikali,kwani ilikataa kutulipa stahiki zetu sisi wazee wa EAC!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Amedanganya kwakua anajua watanzania wanadanganyika, ili tusidanganyike tukatae kudanganywa kwa kuipiga chini ccm, ili liwe onyo na kwa wengine wanaokuja wasirithi uongo
 
inakuwaje mnahamia kwa PM Pinda badala ya kujadili hoja iliyopo mbele yetu?

Weye ndo wale wale mbele nyuma hujulikani,mmeisha zoea kuua lakini ipo siku damu za wasio na hatia kupata haki zao.Mwenye nyumba kakimbia kaenda kushangaa matofali, itakuwaje mpangaji pinda?Weye ndo kina mwakyembe nyie mnaodai hamkusoma chini ya miembe lakini ni nini faida ya elimu zenu zaidi ya unafiki na upambe kwa jk!
 
Huwezi kuwa na vyote kati ya hizi uwe na keki na uile.Huwezi wekeza katika vita dhidi ya ufisadi na bado ukabaki na CCM.
Mbatia mwenyewe ni mazingira tuu yalimbidi apige kura ya no kwa budget.Kwa vile CCM walishapata kura nyingi na kupiga upande wa ccm ni kuwapa credits CDM.pamoja na kupiga siyo bado alikuwa akihema
 
Wewe Leroy huna lolote,kama ungelijua unachosema ungejisikitikiaj sana,lakini sikushangai nyie magamba you are just like mercenaries,you dont care for anything or anybody except your own survival.
 
KIgwa ni lofa kama malofa wengine , we ukiona limbukeni anaukwa ubunge anashabikia anasa za kijinga kwa kununua mkoko wa milion zaidi ya mia unadhani nini ? kaisha wasepa ma dr wenzake huyo
 
pole sana. siungani na pande zote hizo mbili, nasimamia ukweli!

ukweli upi au unataka kuleta unafiki wa kujipendekeza beware nzega uchaguzi ujao utakusikia tu ukiendeleza unafiki kama huu na ndio maana waswahili wanakuambia bora mchawi kuliko mnafiki
 
Siungi mkono Mgomo wa Madaktari.....Wamejaa tamaa, jeuri, wanatumiwa na hawana uzalendo.

kati ya madaktari na mijizi iliyoko serikali nani kakosa uzalendo? gomeni madaktari mpaka mwisho wa nyakati ..serikali dhaifu sana hii imejaa waongo na mizee hii ni mijitu ya kuogofya sana kwa uwongo uliokithiri
 
siungi mkono mgomo wa madaktari.....wamejaa tamaa, jeuri, wanatumiwa na hawana uzalendo.

uzalendo gani unautaka wewe? Kwa haraka haraka unataka warisk maisha yao? Sababu hakuna vitendea kazi mfano hai wataweza kutibu vipi WAgonjwa WALIO LALA chini? Sababu hakuna vitanda, wale viongozi wa serikali ambao ndo wanaDAI Uzalendo, wanaidhinisha hela ya kununulia mashangingi ili waendee ofisini, lakini hela ya kununiua vitanda vya hospitalini hakuna. Tunataka serikali iboreshe hospitali. Usifikiri vitu vizuri vya halali vinakuja kirahisi. UDHAIFU WA WATAWALA MISONGE, LAKINI USISAHAU UKWELI NI UHURU
 
mi wala sina shida ya kuhesabiwa na wewe wala na yeyote yule kwa kuwa sina shaka na udaktari wangu, mimi ni daktari tu hata kama wewe hutonihesabu. uwezo wako ni mdogo sana maana umeshindwa hata kusoma between the lines na kuelewa nilimaanisha nini...
Naomba ninukuu, thread inasema, [h=2]"kumbe pinda alidanganya bunge..!! wasikilize madaktari channel 10"[/h]Nadhani tunamzungumzia pinda alivyopotosha jamii, nikimaanisha moja ya key word ni 'pinda' kwahyo tunarudi pale pale kwamba tunayemwongelea ni pinda a.k.a waziri mkuu.
Sasa katika kusolve immediate problem now na kwasababu Mh huna shaka na udaktari wako, naomba uende Muhimbili kusaidia kuokoa maisha ya watanzania.....mana awali pia umesema huungani na popote ukishindwa kwenda ilihali huna shaka na udaktari wako basi umewaunga mkono kwenye mgomo mana nawe ni daktari si kwa PhD ila ni kwa MD
 
mkuu mimi siwezi kukushambulia kabla sijakusikia unacho maanisha. sasa mkuu ukweli ni upi? sababu madaktari wanalalamika kwamba hawajatekelezewa kitu chochote.
serikali ilipoleta mapendekezo yake madoctor waliomba yakafanyiwe marekebisho na wakaipa serikali wiki mbili kabla ya mgomo.
kifaa cha t scan hakifanyi kazi huu ni mwezi wa saba.
wahitimu wa udoctor wanaenda wapi baada ya kuhitimu?. Mia
Hili swali zuri sana ungekuwa specific zaidi kwamba kwani yeye ameenda wapi baada ya kuhitimu MD? Tatizo ni nini kama alikuwa na mpango wa kuwa na MBA, sidhani palikuwa na haja ya kuingia MD.
 
uzalendo gani unautaka wewe? Kwa haraka haraka unataka warisk maisha yao? Sababu hakuna vitendea kazi mfano hai wataweza kutibu vipi WAgonjwa WALIO LALA chini? Sababu hakuna vitanda, wale viongozi wa serikali ambao ndo wanaDAI Uzalendo, wanaidhinisha hela ya kununulia mashangingi ili waendee ofisini, lakini hela ya kununiua vitanda vya hospitalini hakuna. Tunataka serikali iboreshe hospitali. Usifikiri vitu vizuri vya halali vinakuja kirahisi. UDHAIFU WA WATAWALA MISONGE, LAKINI USISAHAU UKWELI NI UHURU
usisahau hii kashfa mpya ya bn 303 waklizoficha swiss bank hiyo ingeweza kununua vitanda vingapi??
 
Back
Top Bottom