hapo palipokolwezwa ndo mojawapo ya ushauri, siyo kugoomaaa tuuuuuuuuuuu!
madai haya yana zaidi ya miaka 7 nyuma, selikali hii bila shinikizo haiendi.
hapo palipokolwezwa ndo mojawapo ya ushauri, siyo kugoomaaa tuuuuuuuuuuu!
Katibu wa Jumuiya hiyo, Dk Edwin Chitega alitaja madai yaliyowasilishwa katika kamati hiyo kuwa ni:-
1. Hali bora ya mazingira ya utoaji afya nchini,
2. Ongezeko la mishahara,
3. Posho za kufanya kazi katika mazingira magumu,
4. Posho za kufanya kazi katika mazingira hatarishi
5. Posho za kuitwa kazini.
Madai 12, 10 ni madai ya mshahara na posho! Moja tu ndio kuimarisha huduma za afya
VX moja hainunui CT Scanner,though i believe the govt can afford to buy one in every major hospital.
Nne, Swala la kutumia mishahara ya nchi nyinginezo sio kigezo kabisa. Ni Ujinga mkuwba sana mnatumia kwa sababu hao wenzenu walisomea Udaktari kwa kulipa ada kubwa sana ambayo ilifikia Usd 200,000 na zaidi wewe ulilipa hizo? Sasa huyu Mwenzako aliyejipinda kulipia ada ya Usd 200,000 awe sawa na wewe ulosomeshwa bure kwa mpango wa serikali ktk kufuta adui MARADHI? Halafu kibaya zaidi sii tu unataka mshahara balki posho, mashangingi na nyumba kama kwamba hata kukusomesha wewe bure ilikuwa kosa kubwa sana kwa serikali.
kama wabunge wanalipwa 7.5M mkopo wa gari 90M bado posho za vikao bado wako kwenye kamati za bunge wanapokea posho bado kama wakina manyanya wanapokea mshahara wa ubunge na ukuu wa mkoa na wabunge wakimaliza miaka yao mitano wana kifuta jasho 60M kwanini kwanini madaktari 3.5M ishindikane?? wabunge wenyewe ndio hao tunaona wanasinzia tu bungeni na kutukana huu si wenda wazimu hata wanyama wataona kuw amadaktari hatuwatendei haki.