hayo unanena wewe, subiri kesho utanisikia Star TV tuongee asbh utaujua ukweli ninaoumaanisha ni upi, si lazima iwe ule 'ukweli' wa kukufurahisha weweUkweli upi?.....kusema madai yametekelezwa wakati sio kweli?....
unafiki wangu umekujaje tena hapa? kwanza hapa mimi siyo hoja wala siyo topic, jadili hoja kakaKigwa wewe ni mnafiki na msaliti ukiwa kama dr bora ukae kimya mnafiki mkubwa hamisi kigwangala.
hayo unanena wewe, subiri kesho utanisikia Star TV tuongee asbh utaujua ukweli ninaoumaanisha ni upi, si lazima iwe ule 'ukweli' wa kukufurahisha wewe
Kigwa wewe ni mnafiki na msaliti ukiwa kama dr bora ukae kimya mnafiki mkubwa hamisi kigwangala.
unafiki wangu umekujaje tena hapa? kwanza hapa mimi siyo hoja wala siyo topic, jadili hoja kaka
imempenda Dr chitage niambieni nifanyeje.
imempenda Dr chitage niambieni nifanyeje.
du upepepepo utatatapita
pole sana. siungani na pande zote hizo mbili, nasimamia ukweli!
weka updates watu waelewe mkuu!
mi wala sina shida ya kuhesabiwa na wewe wala na yeyote yule kwa kuwa sina shaka na udaktari wangu, mimi ni daktari tu hata kama wewe hutonihesabu. uwezo wako ni mdogo sana maana umeshindwa hata kusoma between the lines na kuelewa nilimaanisha nini...